SERIKALI KUONGEZEA WIGO SEKTA YA MAWASILIANO
Wizara ya Habari na Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Kwa kushirikiana na sekta binafsi kwa kuweka mazingira wezeshi kwa makampuni ya kutoa huduma ya mawasiliano ili kuongeza wigo katika sekta hiyo. Hayo yamebainishwa leo septemba 25,2023 na Waziri wa Habari na Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe. Nape nnauye kwenye Hafla ya utiaji saini hati […]