MICHEZO
July 03, 2023
230 views 3 mins 0

MINGLE FC KUICHAPA TING WAYLAND KWENYE KATA YAO

Mashindano Kimwanga CUP ambayo yalikuwa yakitimuwa vumbi kata ya Makurumla yametamatika siku ya jana baada ya Timu ya Mingle FC kunyakuwa kikombe kwa kuichapa Ting Wayland Magoli mawili kwa sifuri mchezo uliochezwa uwanja wa Bubu. Katika fainali ya michuano hiyo iliyoteka hisia za mashabiki lukuki wa soka katika Kata ya Makurumla pamoja na kata jirani […]

MICHEZO
June 17, 2023
308 views 15 secs 0

SERIKALI NA CCM KUBORESHA MIUNDOMBINU YA MICHEZO NCHINI

Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Saidi Yakubu amekutana na wajumbe kwa kufanya kikao cha pamoja na ujumbe kutoka Chama cha Mapinduzi (CCM) ambapo wamejadili namna bora ya kuboresha miundombinu ya michezo nchini. Akizungumza jijini Dodoma ambapo timu ya wataalamu kutoka Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo wakiongozwa na Katibu Mkuu wake Bw. […]

MICHEZO
June 15, 2023
210 views 57 secs 0

Nasredinne nabi kuachana na yanga rasmi

Uongozi wa yanga umetangaza rasmi kuachana na kocha wake nasredinne nabi baada ya kumaliza mkataba wake katika kikosi hicho. Taarifa iliyotolewa na idara ya habari na mawasiliano wa kabla ya yanga imeeleza kuwa uongozi wa klabu hiyo ulikutana na nabi na kuzungumza naye kuhusu kusaini mkataba mpya lakini nabi ameomba kupewa nafasi ya kwenda kutafuta […]

MICHEZO
June 15, 2023
676 views 2 mins 0

YANGA SIYO MABINGWA MARA 29/ ACHENI KUPOTOSHA

Vita ya soka haijawahi kuisha nchini kuanzia ndani uwanja mpaka mtaani kwa mashabiki. Maafisa Habari nao hawajawahi kupoa, ‘Ukiufumba na Kufumbua’ unakutana na taarifa kedekede zilizojawa kejeli, majigambo, utani kiasi kuhusu vilabu vyao vyenye mamilioni ya mashabiki nchini. Thabith Zakaria maarufu kama Zaka za Kazi ambaye ni Mkuu wa Idara ya Habari na mawasiliano Azam […]

MICHEZO
June 01, 2023
202 views 22 secs 0

TANZANIA NA JAPAN KUSHIRIKIANA KUENDELEZA MICHEZO NCHINI

Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Bw. Saidi Yakubu amesema Wizara hiyo itaendelea kushirikiana na Shirika la Maendeleo ya Japan (JICA)katika sekta ya michezo nchini ili kuendelea kutoa ajira kwa watu wengi zaidi hatua inayosaidia kukuza uchumi wa mtu mmoja mmoja na taifa kwa ujumla.  Bw. Yakubu amesema katika kikao chake na Mtaalamu wa michezo kutoka Shirika la Maendeleo ya Japan (JICA) Dkt. Shiraishi Tomoya Juni […]

MICHEZO
May 23, 2023
462 views 4 mins 0

WANACHUO MALYA MABINGWA NETIBOLI

Mashindano ya Netiboli yaliyokuwa yanafanyika Kwimba mkoani Mwanza katika viunga vyaChuo cha Maendeleo ya Michezo Malya yamefikia ukingoni na washinfdi kukabidhiwa zawadizao usiku wa Mei 22, 2023 na Makamu Mkuu wa Chuo Cha Maendeleo ya Michezo Malya AlexMkenyenge. “Hongereni kwa kushiriki mashindano haya na walioshinda nawapapongezi tele na ndiyo maana tunawakabidhi zawadi zenu leo hii.” […]

MICHEZO
May 15, 2023
363 views 3 mins 0

MASHINDANO YA NETIBOLI YAFANA MALYA

Kwa muda wa mwezi mmoja sasa katika viwanja vya ndani vya Chuo Cha Maendeleo yaMichezo Malya kunafanyika Ligi ya Netiboli inayokusanya timu kadhaa za eneo la Malya wilayaya Kwimba, Mkoani Mwanza ambapo sasa yamefikia nusu fainali. Ligi hiyo iliyoanza Mei 1, 2023 Malya Queen Walifungua dimba na Malya Sekondari, MalyaQueen wakishinda kwa magoli 21 kwa […]

MICHEZO
May 13, 2023
228 views 3 mins 0

SERIKALI YACHANGIA MASHABIKI KUISHUHUDIA YANGA AFRIKA KUSINI

WIZARA ya Utamaduni, Sanaa na Michezo imesaidia kugharamia usafiri wa mashabiki 55 wa timu ya Yanga kwenda Afrika Kusini katika mchezo wa pili wa hatua ya nusu fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika (CAF) huku Naibu Waziri wa Wizara hiyo Mhe. Hamis Mwinjuma akitarajia kuongoza msafara huo. Hayo yamebainishwa na Katibu Mkuu wa wizara hiyo, Bw. Saidi Yakubu […]

MICHEZO
May 12, 2023
254 views 21 secs 0

JENGO LA YANGA KUKARABATIWA

Mkurugenzi wa Wanachama wa timu hiyo Haji Mfikirwa anabainisha kuwa Klabu ya Yanga Sc imeingia makubaliano ya ushirika na kampuni ya rangi ya Robbialac kwaajili ya ukarabati wa jengo lao la Makao Makuu yaliyopo mitaa ya Twiga na Jangwani Dar es Salaam.