Home > Articles posted by MACHINGA TV (Page 13)
FEATURE
on Mar 26, 2025
59 views 3 mins

Na Mwandishi Wetu KAMPUNI ya Uendelezaji Jotoardhi Tanzania (TGDC) imetoa elimu na uhamasishaji kwa wananchi wa vijiji vya Nsongwi Juu, Nsenga na Mbeye I, ili kuimarisha uhusiano na jamii zinazozunguka miradi ya jotoardhi ngozi. Ziara hiyo ilifanyika Machi 17 hadi 20, mwaka huu na wakazi wa maeneo hayo kunufaika na elimu iliyotolewa na kuonesha utayari […]

FEATURE
on Mar 25, 2025
57 views 3 mins

Na Mwandishi Wetu NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt.Dotto Biteko ameieleza Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini kuwa Serikali inafurahishwa na mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) kwa kutoa kipaumbele cha fursa za ajira kwa Watanzania kupitia utekelezaji wa Sera ya kuwawezesha wazawa ( Local Content). […]

FEATURE
on Mar 25, 2025
126 views 3 mins

Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. Hamza S. Johari amewakumbusha Mawakili wa Serikali kufanya kazi kwa haraka, kwa wakati  na kwa kuzingatia ubora, Mwanasheria Mkuu wa Serikali ameyasema hayo tarehe 25 Machi, 2025 wakati akizungumza na Mawakili wa Serikali kwenye Mafunzo maalumu kwa  Mawakili hao yanayofanyika Jijini Arusha. Mwanasheria Mkuu wa Serikali amewakumbusha Mawakili wa Serikali […]

FEATURE
on Mar 23, 2025
96 views 3 mins

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA Taasisi isiyokuwa ya kiserikali ya AMO Foundation Kwa kushirikiana na Shirika la PDT Foundation imeweza kuwachangia watoto wanaoishi Katika mazingira magumu wanaotembea umbali mrefu Ili kufika shuleni Kwa kuwachangia baiskeli 30 Ameyasema hayo Leo 23,Machi 2025 Mkurugenzi wa AMO Foundation Amina Said Amesema kuwa tumewachangia baiskeli 30 lakini […]

FEATURE
on Mar 23, 2025
70 views 3 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), kupitia Kituo cha Hali ya Hewa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), imeadhimisha Siku ya Hali ya Hewa Duniani kwa kutoa elimu kwa wadau pamoja na kuweka mipango ya kuendelea kuboresha huduma na kuongeza tija na ufanisi katika kuhakikisha usalama wa […]

FEATURE
on Mar 22, 2025
54 views 6 secs

Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Hussein Ali Mwinyi amejumuika  na  Wajumbe wa Kamati Kuu na Halmashauri kuu ya Chama Cha Mapinduzi katika futari aliyoiandaa. Hafla hiyo ya  imefanyika katika Viwanja vya Ikulu  Zanzibar, tarehe 22 Machi 2025. Ameeleza kuridhika kukamilisha Sadaka ya Futari kwa Mikoa yote […]

FEATURE
on Mar 22, 2025
80 views 2 mins

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt, Hussein Ali Mwinyi amesema  Serikali ina dhamira ya dhati  ya Kuijenga Zanzibar yenye Maendeleo endelevu na huduma bora za jamii ikiwemo Elimu, Afya na Maji Safi na Salama. Rais Dkt.Mwinyi amesema hayo alipoizindua Sera Mpya ya Maji na  Usafi wa Mazingira ya 2025 hafla iliofanyika […]

FEATURE
on Mar 22, 2025
58 views 3 mins

*📌 Dkt. Kazungu asema Wizara itaendelea kutekeleza miradi mbalimbali ya Kimkakati.* *📌 Baraza lapitisha rasimu ya bajeti ya 2025/2026 .* 📌 Hoja za TUGHE zajadiliwa kwa kina na kupatiwa ufumbuzi Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati, Dkt. Khatibu Kazungu leo Machi 22, 2025 amefungua Baraza la saba la Wafanyakazi wa Wizara ya Nishati ambalo limepitia […]

FEATURE
on Mar 22, 2025
44 views 3 mins

Na Happiness Shayo – Njombe Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Balozi, Dkt. Pindi Chana (Mb) amesema Serikali kupitia Wizara ya Maliasili na Utalii itaendelea kushirikiana na wadau mbalimbali wa Sekta ya Misitu ili kuleta ufanisi na manufaa zaidi katika kuchangia ukuaji wa pato la Taifa (GDP) na kunufaisha wananchi kupitia rasilimali za misitu zilizopo […]

FEATURE
on Mar 22, 2025
56 views 6 mins

📌Taa za barabarani 95 zawekwa  Mji wa Tunduma 📌Km. 50 za barabara mpya zafunguliwa Halmashauri ya Momba Tunduma,Momba Kwa mara ya kwanza wananchi wa Kata ya Mpemba na Mpande wananufaika  na kufurahia matunda ya ujenzi wa barabara itakayochochea kasi ya ukuaji wa uchumi na Maisha yao kwa ujumla. Mhandisi Yusuph Shabani Meneja TARURA Wilaya ya […]