Home > Articles posted by MACHINGA TV (Page 14)
FEATURE
on Mar 22, 2025
56 views 6 mins

๐Ÿ“ŒTaa za barabarani 95 zawekwa  Mji wa Tunduma ๐Ÿ“ŒKm. 50 za barabara mpya zafunguliwa Halmashauri ya Momba Tunduma,Momba Kwa mara ya kwanza wananchi wa Kata ya Mpemba na Mpande wananufaika  na kufurahia matunda ya ujenzi wa barabara itakayochochea kasi ya ukuaji wa uchumi na Maisha yao kwa ujumla. Mhandisi Yusuph Shabani Meneja TARURA Wilaya ya […]

FEATURE
on Mar 21, 2025
54 views 2 mins

ย _โ–ช๏ธAsema Tanzania inayo teknolojia ya uchakataji mazao ya misitu.__โ–ช๏ธAisistiza Wizaraย  kuendelea kuweka mazingira wezeshi ya uwekezaji wa mazao ya misitu._ย WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa ametoa wito kwa wadau wa uzalishaji mazao ya misitu kuhakikisha wanaongeza thamani ya mazao hayo hapa nchini badala ya kusafirisha malighafi hizo nje ya nchi. Amesema kuwa Tanzania kwa sasa inayo teknolojia […]

FEATURE
on Mar 21, 2025
57 views 47 secs

Na John Mapepele Kwa mara ya kwanza  katika historia ya maadhimisho ya Siku ya Misitu Duniani ya mwaka huu  hapa nchini yanayofanyika katika viwanja vya Saba Saba Mjini Njombe  Wizara ya Maliasili na Utalii imeandaa maonesho maalum ya mnyororo wa thamani wa sekta ya misitu pamoja na Wanyamapori. Kwa vipindi tofauti wakikagua maandalizi ya siku […]

FEATURE
on Mar 21, 2025
43 views 3 mins

Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega amemuelekeza Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Mhandisi Balozi Aisha Amour, kuwasimamisha kazi wasimamizi wote wa Mizani waliokuwa zamu katika Mizani zilizopo katika barabara kuu ya T1 inayoanzia Dar es Salaam โ€“ Zambia kupitia mpaka wa Tunduma kwa ajili ya kupisha uchunguzi wa malalamiko katika Mizani hizo. Ulega amefanya maamuzi […]

FEATURE
on Mar 21, 2025
62 views 2 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Mamlaka ya Mafunzo ya Amali Zanzibar (VTA) imesema inajivunia mageuzi makubwa ya kisera ambayo yamewezesha kuwapo kwa mafanikio ya utoaji mafunzo ya amali. Akizungumza Machi 20,2025 na waandishi wa habari kwenye maonesho ya miaka 30 ya Veta, Mkurugenzi Mtendaji wa VTA, Dk. Bakari Ali Silima, amesema mageuzi makubwa yamefanyika tangu kuanzishwa […]

FEATURE
on Mar 21, 2025
47 views 57 secs

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA *๐Ÿ“ŒUjenzi wafikiaย  94%* *๐Ÿ“DODOMA* Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imekagua ujenzi wa jengo la Wizara ya Nishati katika mji wa Serikali Mtumba na kuipongeza Wizara kwa hatua ya ujenzi iliyofikiwa kwa asilimia 94. Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Mhe. David Mathayo amesema hayo tarehe 20 Machi 2025, wakati […]

FEATURE
on Mar 21, 2025
59 views 4 mins

๐Ÿ“Œ *Uzalishaji umeme waongezeka kwa asilimia 59.9* ๐Ÿ“Œ *Misheni 300 kuongeza  upatikanaji  umeme kwa asilimia 100 ifikapo  2030.* ๐Ÿ“Œ *Serikali yaokoa sh.i bilioni 58.4 kwa kuunganisha Kigoma na gridi ya Taifa.* ๐Ÿ“Œ *Upatikanaji  bidhaa za mafuta umeendelea kuwa wa uhakika* Naibu Waziri Nishati, Mhe. Judith Kapinga kwa niaba ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa […]

FEATURE
on Mar 21, 2025
46 views 2 mins

๐Ÿ“Œ Asisitiza kuwa, Rais Samia anajenga vyuo kila wilaya nchini ๐Ÿ“ŒApongeza utoaji wa mafunzo na ujuzi kuendana na teknolojia ya kisasa ๐Ÿ“ŒMakundi maalumu kupewa kipaumbele ๐Ÿ“ŒAsema VETA itakuwa msingi kwa malezi ya watoto na Vijana Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imeamua kuwekeza kwenye ufundi ili Watanzania […]

FEATURE
on Mar 21, 2025
39 views 3 mins

๐Ÿ“ Mapato na Idadi ya Watalii Vyaongezeka Na Beatus Maganja, Mbeya Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA), Meja Jenerali (Mstaafu) Hamis R. Semfuko, amesema kuwa juhudi za Serikali ya Awamu ya Sita chini ya uongozi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan […]

FEATURE
on Mar 20, 2025
62 views 2 mins

*๐Ÿ“ŒWaziri wa Mambo Nje  Misri atembelea Bwawa la Julius Nyerere* *๐Ÿ“ŒAsifu hatua za Rais  wa Tanzania na Misri kusimamia  utekelezaji wa mradi* *๐Ÿ“ŒMradi wafikia asilimia 99.89* *๐Ÿ“RUFIJI* Naibu Waziri wa Nishati Mhe. Judith Kapinga, amesema Tanzania na Misri zitaendeleza ushirikiano  kwenye utekelezaji wa miradi ya umeme na kudunisha ushirikiano uliowekwa na waasisi wa nchi hizo. […]