Home > Articles posted by MACHINGA TV (Page 15)
FEATURE
on Mar 20, 2025
42 views 3 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, kupitia Waziri Mkuu Kassim Majaliwa imetoa wito kwa wadau wa elimu na mafunzo ya ufundi stadi nchini watoe mafunzo yanayozingatia mahitaji halisi ya soko la ajira. โ€œMahitaji ya soko la ajira tutayajua kwa kufanya tafiti za mara kwa mara […]

FEATURE
on Mar 20, 2025
67 views 2 mins

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Innocent Bashungwa, amesema Serikali inatambua mchango mkubwa wa Jumuiya ya Maridhiano na Amani Tanzania (JMAT) kwa kuwa mstari wa mbele katika kutangaza amani, upendo, maadili, na usawa miongoni mwa wananchi wa Tanzania bila kujali tofauti zao za kiimani, kisiasa, au kijamii. Bashungwa ameeleza hayo jijini Dar es Salaam […]

FEATURE
on Mar 19, 2025
52 views 3 mins

Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali imejipanga katika kuendelea kuimarisha na kuboresha uwezo wa Mawakili wa Serikali nchini, hayo yamesemwa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali Mhe. Hamza S. Johari wakati akizungumza na kwenye Mkutano maalaumu na vyombo vya habari uliofanyika tarehe 19 Machi, 2025 katika Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali Kivukoni Jijini, Dar es […]

FEATURE
on Mar 19, 2025
71 views 4 mins

Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) imefanya ziara maalum Songo Songo Mkoani Lindi kujionea hali ya miundombonu ya uzalishaji na uchakataji wa gesi asilia, na utekelezaji wa miradi ya Uwajibikaji wa Kampuni kwa Jamii (CSR) unaofanywa na kampuni za utafutaji na uzalishaji wa gesi asilia kisiwani humo. Kupitia […]

FEATURE
on Mar 19, 2025
64 views 2 mins

๐Ÿ“Œ MRADI*Unahusisha ujenzi wa njia ya kusafirisha umeme kutoka Iringa hadi Sumbawanga* ๐Ÿ“Œ *Kapinga asema Mkoa wa Rukwa kuunganishwa na gridi ya Taifa kupitia mradi wa TAZA* ๐Ÿ“Œ *Serikali yatoa Bilioni 21.4 kwa ajili ya kulipa fidia wananchi* ๐Ÿ“Œ *Wananchi Wilaya ya Mufindi kunufaika na mitungi ya Ruzuku* Serikali imesema kuwa, itaukamilisha kwa wakatil mradi […]

FEATURE
on Mar 19, 2025
60 views 2 mins

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA Mamlaka ya dawa na tiba asilia TMDA yamtakia MHE RAIS SAMIA Kwa kufikisha miaka minne Katika kutumikia nchi ya Tanzania Kwa miaka  hiyo aliyokuwa madarajani na kufanya mapinduzi Katika maswala ya Afya TMDA imesema Mhe Rais ameyafanya makubwa Kwa kujua huduma za wananchi wake Kwa Kupitia wizara ya […]

FEATURE
on Mar 19, 2025
55 views 2 mins

Na Mwandishi Wetu Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Mashaka Biteko, ameipongeza Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) kwa jitihada zake katika kusimamia Sekta ya Maji. Amesema Serikali itaendelea kushirikiana na EWURA ili kuhakikisha huduma za maji kwa wananchi zinaimarika.  Dkt. Biteko alitoa pongezi hizo leo, Jumatano tarehe […]

FEATURE
on Mar 19, 2025
52 views 3 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA ๐Ÿ“Œ Azindua taarifa ya Utendaji wa Mamlaka za maji mwaka 2023/24 ๐Ÿ“Œ Upotevu wa maji wasababisha hasara ya shilingi bilioni 114.12 ๐Ÿ“Œ Maganzo yaibuka kidedea, Rombo yavuta mkia utoaji wa huduma Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amezindua taarifa ya Utendaji wa Mamlaka za maji kwa […]

FEATURE
on Mar 19, 2025
52 views 8 mins

1. Kwa Waswahili unaitwa Mwarobaini kwa sababu unatibu magonjwa arobaini. 2. Kwa Wahindi unaitwa Duka la Dawa la Kijiji kwa sababu unatibu magonjwa zaidi ya 100. 3. Kuanzia mizizi, magome, matawi, majani, maua mpaka mbegu ni dawa! Ukiupanda unakaa miaka 200! 4. Mti huu upo karibu kila kona ya Dunia. Kwa Tanzania upo mwingi Dodoma! […]