Home > Articles posted by MACHINGA TV (Page 151)
FEATURE
on Dec 24, 2023
411 views 2 mins

Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (NEC), Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Ndugu Paul Christian Makonda ameendelea kutoa wito kwa Viongozi wa Dini mbalimbali nchini, kuendelea na moyo wa imani wa kuiweka katika maombi nchi yetu, pamoja na Kiongozi Mkuu wake, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, katika […]

FEATURE
on Dec 22, 2023
478 views 30 secs

Awakumbusha waliotoa ahadi zao kuzikamilisha ili kuendelea kuiwezesha Taasisi ya Professor Jay Foundation_ Katibu wa Halmshauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Itikadi, Uenezi na Mafunzo Ndugu. Paul Makonda , ametimiza ahadi yake ya kumchangia Tsh Milioni 10 kwa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Mikumi na Mwanamuziki wa (HipHop) Nchini Bw. Joseph Haule Maarufu […]

FEATURE
on Dec 21, 2023
537 views 2 mins

Taasisi ya Mtetezi wa Mama hii leo imesema kuwa inatarajia kuungana na Rais Dkt Samia Suluhu Hassan katika kusherehekea siku yake ya kuzaliwa January 27/2024 kwa namna ya kipekee ikiwemo kutoa misaada mbalimbali kwa wahitaji. Akizungumza na Waandishi wa Habari Jijini Dar es salaam Mwenyekiti wa Taasisi hiyo Mohammed Chande amesema kazi kubwa ya Taasisi […]

FEATURE
on Dec 21, 2023
259 views 48 secs

Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Itikadi, Uenezi na Mafunzo Ndugu. Paul Makonda amesema Chama Cha Mapinduzi kinaipongeza Wizara ya Kilimo chini ya Waziri Bashe kwa kuendelea kusimamia vema na kuonesha Tija kwa wakulima Nchini. Mwenezi Makonda amesema kulingana na Takwimu, inaonesha kuwa kwa mara ya kwanza uzalishaji wa zao la […]

FEATURE
on Dec 21, 2023
304 views 2 mins

> Atoa mrejesho wa Ziara ya Idara ya Uenezi katika Miko ya Kanda ya Ziwa > Asema zaidi ya Mikoa 25 imefikiwa na Waziri wa Ardhi kwa utatuzi wa Migogoro ya Ardhi, Matokea chanya yaonekana. Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi Taifa, Itikadi, Uenezi na Mafunzo Ndugu. Paul Makonda ametoa mrejesho wa ziara […]

FEATURE
on Dec 20, 2023
548 views 2 mins

Mkuu wa Wilaya ya Ludewa, Mhe. Victoria Mwanziva amefanya ziara ya kimkakati ya ukaguzi wa Miradi ya Maji Wilayani Ludewa. Akitembelea miradi mbalimbali DC Victoria amesema kuwa Lengo la ziara hii ni kuhakikisha kuwa Wana-Ludewa wanapata huduma ya Maji bora, safi, salama na yenye kutosheleza Sambamba na kuonesha kazi kubwa inayofanywa na Mheshimiwa Rais Dkt. […]

FEATURE
on Dec 19, 2023
435 views 2 mins

Naibu waziri wa mambo ya Ndani Dkt Maduhu Rack Kazi Amesema Wahamiaji wenye ujuzi ni chachu nzuri Katika ustawi wa jamii husika hata KatikaTaifa Ambalo walilofikia Kwa wakati huo Amesema Wahamiaji wamekuwa wakikabiliwa na changamoto mbalimbali zingiwemo Kwa kubaguliwa kunyanyaswa pamoja na changamoto za hali ya kimaisha Katika usalama wa familia zao kwani wanaitajika kujifunza […]

FEATURE
on Dec 14, 2023
471 views 3 mins

DAR ES SALAAM:Madina Mohammed Mbunge wa Viti Maalum(CCM) Mkoa wa Dar es Salaam Mh.Janeth Masaburi amezitaka taasisi za serikali zinazohusika na ujenzi wa nyumba za makazi kama NHC kubuni majengo ya wapangaji kwa wananchi wa kipato cha chini ili kulipanga jiji la Dar es salaam. Wito huo ameutoa leo Disemba 14,2023 wakati wa ziara ya […]

FEATURE
on Dec 13, 2023
246 views 3 mins

Aalika wawekezaji sekta ya uvuvi Tanzania Bara na Zanzibar WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amekutana na Balozi wa Saudi Arabia nchini, Yahya Ahmed Okeish na kujadiliana masuala mbalimbali yakiwemo ya kilimo, uvuvi na uwekezaji. Akizungumza na balozi huyo leo (Jumatano, Desemba 13, 2023) ofisini kwake Mlimwa jijini Dodoma, Waziri Mkuu amesema anatambua matunda ya uhusiano wa […]