Home > Articles posted by MACHINGA TV (Page 177)
FEATURE
on Sep 13, 2023
527 views 14 secs

Ufaransa imeamuru kusitishwa mara moja kwa mauzo ya simu zote za Apple aina iPhone 12 kutokana na kugundulika kuwa na mionzi mingi ya sumakuumeme (electromagnetic) ambayo si salama kiafya kwa watumiaji wake. Shirika la uangalizi la Ufaransa (ANFR) liliiambia kampuni ya Apple kurekebisha simu zilizopo na kuipa ushauri kampuni hiyo, ikiwa haiwezi kutatua suala hilo […]

FEATURE
on Sep 13, 2023
348 views 2 mins

Kampuni ishirini na tano (25) zilizopewa nyaraka za zabuni Kupitia mfumo wa ununuzi serikalini (TANePS) ambazo kampuni 17 zilifanikiwa kuwasilisha nyaraka za zabuni Jumla ya kampuni tano zimetia saini makubaliano ya uchimbaji wa makaa ya mawe Katika mradi wa mchuchuma ambayo mikataba hiyo itadumu Kwa Muda wa miaka mitano Akizungumza na waandishi wa habari jijini […]

FEATURE
on Sep 12, 2023
632 views 4 mins

TIRDO na REPOA imeandaa kozi ya mafunzo ya uzalishaji wa Mkaa Mbadala (Biomass Briquettes) ambayo ni nishati safi kwa matumizi ya majumbani, taasisi na hata viwandani. Mafunzo hayo yanalenga kuimarisha umuhimu Kwa ustawi wa uchumi na mazingira na afya Kwa ujumla na uzalishaji Bora wa mkaa mbadala ambao unaotumia malighafi za taka za kilimo na […]

FEATURE
on Sep 12, 2023
226 views 3 mins

Wizara ya maendeleo ya jamii Jinsia na makundi maarum ambayo imetenga kiasi kidogo Cha fedha Kwa ajili ya maendeleo ya wanawake WDF ambayo inaleta muongozo wa Asilimia kumi unaoboreshwa na unaungana na mwongozo wa mfumo wa wanawake ambalo lengo ni kuondoa wizara ambazo zinazofatilia mtu mmoja mmoja zipite Katika mabank na wapate mafunzo na elimu […]

FEATURE
on Sep 12, 2023
286 views 52 secs

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila leo Agosti 12, 2023 ameshuhudia utiaji Saini wa mikataba ya kazi za ujenzi na matengenezo ya Barabara TARURA Mkoa wa Dar es Salaam yenye thamani ya Tshs.21,260,364,932.43 katika hafla iliyofanyika katika Ukumbi wa DMDP Mnazimmoja Jijini Dar es Salaam. RC Chalamila akiongea wakati wa hafla […]

FEATURE
on Sep 11, 2023
350 views 58 secs

Wakala wa Usalama na Afya Mahali Pa Kazi (OSHA) imefanya semina elekezi kwa Waheshimiwa Wabunge wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti leo tarehe 10 Septemba, 2023, mkoani Arusha. Aidha, semina hiyo ililenga kutoa uelewa kwa Kamati hiyo kuhusu majukumu yanayotekelezwa na OSHA na namna taasisi hiyo iliyopo chini ya Ofisi ya Waziri Mkuu […]

FEATURE
on Sep 8, 2023
325 views 28 secs

Wizara ya Kilimo kwa kushirikiana na taasisi ya mifumo ya chakula (AGRA) na kampuni ya John Deer inatarajia kuanza mchakato wa kuwashindanisha vijana kwenye vikundi na kuwapatia zawadi ya trekta lengo likiwa kuendelea kuhamasisha vijana kuingia kwenye sekta ya kilimo. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam waziri wa kilimo Hussein Bashe amesema […]

FEATURE
on Sep 8, 2023
558 views 3 mins

Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi Vijana Ajira na Wenye Ulemavu Mhandisi Cyprian Luhemeja amewataka watendaji wa ofisi yake kutangaza mafanikio ya wizara na taasisi zake ili wananchi waweze kutambua fursa zinazo wezeshwa na serikali. Mhandisi Luhemeja amesema hayo Septemba 7, 2023 wakati wa kikao kazi cha kujadili shughuli na kazi za Wizara na […]

FEATURE
on Sep 7, 2023
365 views 2 mins

Tanzania na Uganda inaendelea kuimarisha ushirikiano na mahusiano katika sekta ya mifugo kwa kusaini makubaliano ya udhibiti wa magonjwa ya wanyama yanayovuka mipaka na yanayo ambukiza binadam katika maeneo ya mipaka. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam Leo Alhamis 07 September 2023 Waziri wa mifugo na uvuvi Abdallah Hamis Ulega Amesema Licha […]

FEATURE
on Sep 7, 2023
266 views 2 mins

Rais wa jamhuri ya muungano Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan amesema Kupitia serikali yake wataambatanisha viashiria na vitaashiria kufanikiwa Kwa mpango wa kilimo wa BBT Ili kuwapatia fursa Vijana kujihusisha na Kilimo. Amesema kuwa na kutaja baadhi ya viashiria hivyo ni idadi ya Vijana walio Katika mpango huo ambao wapo Zaidi 1200 Na Bado wapo […]