Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA -Amshukuru Rais Dkt Samia Suluhu kwa kutoa pesa zilizowezesha ujenzi wa ofisi hiyo. -Awataka machinga na Bodaboda kuitumia ofisi hiyo kuleta matokeo chanya. -Arudisha tabasamu la Bi Beatrice aliyekumbwa na sakata la kuuzwa nyumba yake Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila leo Machi 13, 2025 amezindua ofisi […]
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA ๐ *Mwenyekiti Vuma ampongeza Rais, Serikali, Wizara na WMA* ๐ *Katibu Mkuu asema maono ya Rais Samia utoaji huduma bora kwa wananchi yatafikiwa* *Dodoma* Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC), Mhe. Augustine Vuma amesema kukamilika kwa Jengo la Ofisi Kuu ya Wakala wa […]
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA ๐ย *Mikoa 16 kunufaika na Nishati ya Jotoardhi* ๐ย *SEforALL yatakiwa kuwekeza katika utafiti na ubunifu* Tanzania imelenga kuunganisha nishati ya jotoardhi kwenye gridi ya taifa ifikapo mwaka 2030 ili kuwa na umeme wa uhakika unaotokana na nishati jadidifu kuelekea Dira ya Tanzania 2025 ambayo inasisitiza maendeleo endelevu ya nishati kama […]
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA ๐ Dkt. Biteko asema Nishati Safi ya Kupikia ni ajenda endelevu ๐ Rais wa Sierra Leone asema ukombozi wa maeneo ya vijijini ni muhimu kufikia maendeleo ๐ Waziri Mkuu wa Barbados apendekeza ushirikiano wa kimataifa kumaliza changamoto za nishati Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Viongozi mbalimbali wanaoshiriki mkutano […]
Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara, Stephen Wasira amewasili katika Uwanja wa Ndege wa Songwe mkoani Mbeya kwa ajili ya kuanza ziara ya siku tatu kuanzia Machi 13 hadi 16, 2025 mkoani Songwe. Uwanjani hapo Makamu Mwenyekiti Wasira alilakiwa na viongozi mbalimbali wa CCM na serikali akiwemo Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Mhe. Daniel Chongolo.
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), *Mhe Naghenjwa Kaboyoka (Mb)* na wajumbe wa Kamati hiyo wameridhishwa na hatua ya mradi wa ujenzi wa jengo la Ofisi la Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Tanzania (TIRA) Makao Makuu linalojengwa Jijini Dodoma ambalo hadi sasa limefikia asilimia 85 […]
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Aliyekuwa Rais wa Uganda marehemu Idi Amin alitaka kubadilisha jina la Uganda kuwa IDI. Kila mtu katika baraza la mawaziri alikubali. Sababu ni kuwa ‘Walimwogopa’. *Lakini kulikuwa na mtu mmoja, Malyamungu.* Akamwambia Amin “Mhe Rais unaijua nchi inayoitwa Cyprus?” Basi Amin akamuuliza “Hivyo Cyprus ina uhusiano gani na Mabadiliko ya Uganda, […]
-Asema ni muhimu kuelewa vizuri mfumo wa uboreshaji Kaya masikini sambamba na taaluma ya ujasiriamali ili kuepuka kutumia pesa bila kuzalisha. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila ameyasema hayo leo Machi 12, 2025 katika ukumbi wa mikutano Arnatoglo wakati akizindua zoezi la malipo ya Ruzuku kwa walengwa wa mpango wa kunusuru […]
*๐Awapongeza TANESCO kutekeleza agizo la Mhe. Dkt. Biteko kuwataka kuanzisha namba ya huduma kwa wateja bure* *๐Asema namba hii ya 180 ya bure kwa wateja kuimarisha huduma kwa wateja na kutatua changamoto zao* *๐Awaagiza Mameneja wa Mikoa na wilaya wa TANESCO kuwasimamia watoa huduma* *๐Awaasa watanzania kutumia namba hiyo kwa malengo yaliyokusudiwa na si vinginevyo* […]