Home > Articles posted by MACHINGA TV (Page 182)
FEATURE
on Aug 12, 2023
447 views 29 secs

Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Patrobas Katambi amemuagiza mkandarasi anayejenga uwanja wa mpira wa Kwaraa kumaliza kwa wakati ili kutumika katika kilele cha mbio za Mwenge wa Uhuru. Mhe. Katambi ametoa maelekezo hayo Agosti 11,2023 wakati wa ziara yake ya kukagua maendeleo ya uwanja huo kuelekea […]

FEATURE
on Aug 12, 2023
431 views 16 secs

Mchungaji wa Taifa Daudi mashimo atabirikushinda Kwa Timu ya Simba SC dhidi ya yanga SC Katika mchezo utakao pigwa Katika dimba la ccm mkwakwani mkoani Tanga Mashimo amesema kesho yanga hawatoweza kushinda Kwani simba Ipo Katika usajili mzuri na yanga kesho wakubali tu matokeo ya kufungwa na Katika ligi watakuwa watu watatu Amewaomba mashabiki wa […]

FEATURE
on Aug 12, 2023
396 views 3 mins

Ulimwenguni kote Leo huadhimisha kilele Cha siku ya Vijana ambayo inafanyika Katika mikoa mbalimbali Kwa Vijana Kwa kutatua matatizo Yao na kujadiliana hatima ya Vijana wa watanzania.afrika na ulimwengu mzima. Siku hii ya Vijana Duniani ilianzishwa na umoja wa mataifa mnamo mwaka 1999 na kupitishwa Kwa Azimio namba 54/120 Kwani tarehe 12 Agosti ya kila […]

FEATURE
on Aug 11, 2023
435 views 2 mins

Bodi ya filamu imefungua dirisha la kupokea filamu Kwa ajili ya tamasha la Tuzo za filamu 2023 Tanzania ikiwa Moja wapo ya tamasha hilo ambalo linalokuza filamu za kitanzania na kuzidi kuleta chachu ya kuendeleza vipaji vya Sanaa Tuzo hizo zimekuwa msimamo wa mbele ambazo ndizo zinazoweza kukutambulisha kazi yako unayoifanya ya kutunga au kucheza […]

FEATURE
on Aug 11, 2023
447 views 3 mins

Nchi ya Tanzania na nchi ya Malawi yaingia makubaliano wa miaka miwili Katika na ushirikiano Katika sekta ya nishati Makubaliano hayo ya understand kati ya lastcop na shirika la umeme la Malawi Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam Katika ukumbi wa hayyat regency Leo ijumaa 11 mwezi august 2023 waziri wa nishati […]

FEATURE
on Aug 11, 2023
484 views 22 secs

Kufuatia performance ya msanii kwenye tamasha la Simba Day iliyozua mjadala na kupelekea chama Cha watu Wenye Ulemavu ualbino kuitaka klabu ya Simba SC Tanzania kuomba radhi Kwa kitendo hicho Cha kumtumia mtu mwenye ualbino kutumika Katika tamasha hilo Haji manara amejibu kuhusu swala hilo akiwa ni mtu anayetajwa kuhusishwa kama mlengwa wa kilichofanyika siku […]

FEATURE
on Aug 10, 2023
459 views 3 mins

JESHI la kujenga Taifa (JKT) na wizara ya kilimo wametiliana saini mkataba wa mashirikiano katika kutekeleza mradi wa mashamba makubwa kuwezesha vijana kilimo biashara-Building a Better tomorrow (BBT) mbele ya Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania na amiri jeshi mkuu Mh.Dkt. Samia Suluhu Hassan. Mkuu wa Jeshi la kujenga Taifa (JKT) Meja jenerali Rajab […]

FEATURE
on Aug 9, 2023
404 views 32 secs

Waziri wa kilimo Umwagiliaji, Maliasili na Mifugo Zanzibar Mh.SHAMATE SHAAME KHAMIS amesema serikali inathamini kazi inayofanywa na Tume ya Nguvu za Atomu Tanzania (TAEC) katika kudhibiti matumizi salama ya mionzi nchini. SHAMATA ameyasema hayo baada ya kutembelea banda la Tume ya Nguvu za Atomu Tanzania (TAEC) katika maonesho ya Nane Nane kitaifa yanayoendelea Jijini Mbeya […]

FEATURE
on Aug 9, 2023
542 views 17 secs

Mwigizaji staa kajala masanja amefunguka kwenye Mkutano wake na waandishi wa habari kuhusu yanayoendelea mtandaoni kumuhusu yeye na EX wake Harmonize ambapo amekiri kwamba ni kweli miezi miwili kabla hawajaachana na Harmonize alikuwa anachukua asilimia 10 kutoka kwenye kila hela aliyokuwa akiingiza Harmonize Akiongea Leo jijini Dar es salaam wakati akigewa Dili la ubalozi wa […]

FEATURE
on Aug 9, 2023
283 views 2 mins

MAMLAKA ya Huduma ya Usafiri wa Anga imewahakikishia watanzania kwamba usafiri wa sekta ya Anga ni usafiri salama zaidi kulikos sekta nyingine. Hayo yamesemwa na Katibu Mtendaji wa Baraza la Ushauri la watumiaji huduma za Usafiri wa Anga (TCAA-CCC) Innocent Kyara wakati akizungumza na waandishi wa habari siku ya kilele cha maonyesho ya wakulima katika […]