Home > Articles posted by MACHINGA TV (Page 189)
FEATURE
on Jul 16, 2023
261 views 2 mins

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara Abdulrahman Kinana amepongeza uamuzi wa Rais Dk. Samia Suluhu Hassan Hassan wa kuunda wizara inayohusika na mipango. Pia, amepongeza hatua ya kuifanya Tume ya Mipango kuwa chini ya ofisi ya Rais ambapo amesema itaongeza kasi na uhakika wa mipango ya maendeleo nchini. Kinana ameyasema hayo jana […]

FEATURE
on Jul 15, 2023
536 views 34 secs

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amezitaka taasisi za haki jinai kufanya marekebisho ambayo hayana gharama za kifedha katika mifumo yao ya kiutendaji ili kuleta haki kwa wananchi. Rais Samia ameyasema hayo leo wakati akipokea taarifa rasmi ya Tume ya Kuangalia jinsi ya Kuboresha Taasisi za Haki Jinai hapa nchini […]

FEATURE
on Jul 15, 2023
740 views 2 mins

Taasisi mpya iitwayo watetezi wa mama wamekuja Moja Kwa Moja Kwa ajili ya kumsapoti Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan Katika juhudi zake ambazo anazozifanya Katika serikali yake. Miaka 2 ya mama samia mambo makubwa yamefanyika Kuna miradi ya mikakati tunaule mradi wa mwalimu Nyerere wa umeme rufiji na mradi wa reli SGR wengi tulijua miradi haiwezi […]

FEATURE
on Jul 15, 2023
513 views 3 mins

UNAPOPENDWA,ukapendeka na upande ukapendwa,furaha,utulivu na amani huwa ni rafiki zako wa karibu. Wataalam wa Masuala ya mahusiano wanasema Katika upendo huu, mwanamke ndiye anaouwezo Zaidi WA kupenda kuliko mwanaume,kwamba mwanamke akipenda anapenda Hadi anazubaa. Kwa upande wa mwanaume huwa anapenda Kwa hesabu ni nadra sana kumpata mwanaume akazama kwenye mapenzi kiasi kwamba anazubaa na kuduwaa […]

FEATURE
on Jul 15, 2023
334 views 10 secs

Ofisa mtendaji mkuu wa Simba SC Imani kajula ametangaza kuwa jezi mpya za Simba SC za msimu wa 2023/24 zitakazozinduliwa rasmi tarehe 22 Katika kilele Cha mlima Kilimanjaro. Jukumu la kupeleka jezi Katika kilele Cha mlima Kilimanjaro amekabidhiwa meneja wa idara ya habari na mawasiliano wa Simba SC Ahmed Ally. Kajula amesema hayo Leo jijini […]

FEATURE
on Jul 14, 2023
255 views 3 mins

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amewataka viongozi wateule kutoogopa kufanya maamuzi yenye nia njema kwa manufaa ya nchi. Kauli hiyo ameitoa leo Julai 14, 2023 Ikulu jijini Dar es salaam wakati akihutubia mara baada ya kuwaapisha viongozi mbalimbali aliowateua hivi karibuni. โ€œLakini niwaombe kwenye nia safi na ya […]

FEATURE
on Jul 14, 2023
542 views 5 mins

Waziri wa ujenzi na uchukuzi Prof.makame mbalawa amesema Tarehe 10 juni mwaka huu Bunge la yamhuri ya Muungano wa Tanzania lililidhia Azimio la makubaliano kati ya serikali ya Muungano Tanzania na serikali ya Dubai kuhusu ushirikiano wa kiuchumi wa kijamii kwa ajili ya Utekelezaji na uboreshaji wa utendaji kazi wa bandari Tanzania pamoja na kuridhiwa […]

FEATURE
on Jul 14, 2023
196 views 2 mins

Sakata la bandari likiwa linazidi kuendelea viongozi mbalimbali, wanasheria,pia wanaharakati wanazidi kuliongelea swala hilo la bandari na kuzidi kutoa ufafanuzi wa kina Ili wananchi waelewe kuwa bandari haiuzwi Bali ni uwekezaji ambao utakuwepo baina ya serikali ya Tanzania na serikali ya Dubai. Wahariri mbalimbali nao wameweza kutoa maoni Yao wakilizungumzia swala hilo Ili kuwaelimisha jamii […]

FEATURE
on Jul 13, 2023
213 views 3 mins

Ubongo Kids yasherehekea miaka kumi tangu kuanzishwa kwake ikiwa na mafanikio makubwa ya kuenea nchi 23 na kuzifikia familia milioni 32 kote duniani. Ubongo Kids ambayo imekuwa kinara hapa nchini kutokana na umahili wa kuandaa maudhui ya kuelimisha na kuburudisha kwa vipindi kwenye televisheni wamesherekea mafanikio hayo kwa kuzindua silizi mpya ya NUZO na NAMI […]

FEATURE
on Jul 12, 2023
384 views 3 mins

Mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya bunge ya uwekezaji wa mitaji ya Umma (PIC) ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la ukonga Jerry Silaa amesema nchi yetu inakatiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambayo inayotoa mamlaka Kwa kila aliepewa mamlaka na katiba,katiba hiyo imeazimishwa na mamlaka lakini vile vile mamlaka hayo wakitumia Demokrasia Kwa […]