Home > Articles posted by MACHINGA TV (Page 192)
FEATURE
on Jun 30, 2023
281 views 2 mins

Mashirika yasiyo ya kiserikali Kwa kushirikiana na serikali wamefanya mkutano maarumu Kwa ajili ya wadau na kuwapa somo wadau hao Kwa ajili ya kulipa kodi na kutatua changamoto mbalimbali. Akizungumza na waandishi wa habari Leo ijumaa ya tarehe 30 mwenyekiti WA bodi ya uratibu WA mashirika yasiyo ya kiserikali Tanzania Mwamtumu Mahiza amesema mashirika yasiyo […]

FEATURE
on Jun 30, 2023
204 views 2 mins

Mbunge wa Kawe, Dar es Salaam Askofu Josephat Gwajima ameipongeza Serikali kwa kupelekea huduma ya usafi wa haraka (Mwendokasi) katika jimbo lake ambapo utiaji saidi wa ujenzi wa barabara zake umefanyika leo Juni 30, 2023 na kutaja awamu ya kwanza ya mradi huo itakuwa ni ujenzi wa kipande cha kutoka Mwenge hadi Ubungo ukigharamiwa kupitia […]

FEATURE
on Jun 29, 2023
362 views 2 mins

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linaendelea kusimamia mifumo ya kuzuia, kubaini na kupambana na vitendo vya kihalifu katika maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam. Akizungumza na waandishi wa habari kamanda WA polisi Kanda maarum muliro jumanne muliro amesema Operesheni kali maalum iliyoanza mwezi Aprili, 2023 na inayo endelea katika […]

FEATURE
on Jun 27, 2023
550 views 3 mins

Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Mhe. Innocent L. Bashungwa ametembelea na kukagua utekelezaji wa Mradi wa Ujenzi wa Uwanja wa kimataifa wa Golf unaotekelezwa na Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) eneo la Ihumwa, Jijini Dodoma. Mradi huo, unajumuisha viwanja 18 vya mchezo wa Golf, Hoteli kubwa yenye hadhi ya […]

FEATURE
on Jun 27, 2023
215 views 3 mins

Wasomi na wanazuoni wameliomba Jeshi la Polisi kuendana na mabadiliko ya duniani ya sasa ambayo imejikita zaidi katika tehama na tafiti ambazo zitaleta tija katika jamii na Taifa kwa ujumla husasani katika kukabiliana na uhalifu ukiwemo wa kimtandao ambao umeshika kasi kwa sasa Akizungumza mara baada ya kukabidhi vitabu zaidi ya mia tano vilivyo katika […]

FEATURE
on Jun 27, 2023
308 views 4 mins

Wakuu wa Wilaya za Lindi na Mtwara wameziagiza Taasisi zilizoko Mikoani humo kuhakikisha wanalipia gharama za huduma wanazopatiwa na Wakala wa Ufundi na Umeme Tanzania (TEMESA) ili kuuwezesha Wakala huo kuendelea kutekeleza majukumu yake kwa ufanisi. Wakuu hao wa Wilaya, wameyasema hayo kwa nyakati tofauti wakati wa vikao vya wadau vilivyoandaliwa na TEMESA na kufanyika katika Wilaya zao […]

FEATURE
on Jun 27, 2023
369 views 35 secs

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mbunge wa Kinondoni, Abbas Tarimba, kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma, Juni 27, 2023. DSC_0260 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Wanafunzi wa Shule ya Msingi Idunda iliyopo katika Jimbo la Kibakwe ,kwenye viwanja vya Bunge jijini Dodoma, Juni 27, 2023. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa kwenye picha ya […]

FEATURE
on Jun 26, 2023
366 views 3 mins

Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Dkt. Eliezer Feleshi, amejitosa kwenye mjadala wa uwekezaji wa kampuni ya Dubai ya DP World unaotarajiwa kufanywa kwenye bandari ya Dar es Salaam kwa kusema kuwa kuna upotoshaji mkubwa usio na tija katika mjadala huo. Akizungumza kwa mara ya kwanza katika mahojiano maalumu ofisini kwake Dodoma, Jaji Feleshi amesema kuwa […]

FEATURE
on Jun 26, 2023
244 views 3 mins

Naibu katibu mkuu wa wizara ya viwanda na biashara Dr.Hashili Abdallah amesema Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan,kwa jitihada zake za kuifungua nchi ambapo tumeshuhudia ujio wa wawekezaji mbalimbali kutoka nje ya nchi wakija kuwekeza hapa nchini. Miongoni mwa jitihada za makusudi zilizotekelezwa na Serikali ya Awamu ya Sita ni pamoja na kufanya mapitio ya Sera, Sheria […]

FEATURE
on Jun 26, 2023
295 views 2 mins

 Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA), leo tarehe 24, Juni 2023 imetekeleza wajibu wake kwa jamii kwa kufanya usafi katika Soko la Buguruni, Ilala jijini Dar es Salaam. Katika kutekeleza zoezi hilo BRELA imetoa vifaa mbalimbali vya usafi na kuungana na wafanyabiashara wa soko hilo kufanya usafi. Akitoa salam za Afisa Mtendaji Mkuu […]