Home > Articles posted by MACHINGA TV (Page 196)
FEATURE
on Jun 16, 2023
305 views 3 mins

Wabunge wa Kamati ya Kudumu ya Masuala ya Usawa wa Jinsia, Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Familia kutoka Bunge la Namibia wameipongeza Serikali kwa kuimarisha huduma za matibabu ya moyo jambo ambalo limewafanya watanzania na mataifa mengine kutibiwa moyo hapa nchini. Pongezi hizo zimetolewa na wabunge hao jijini Dar es Salaam wakati walipotembelea Taasisi […]

FEATURE
on Jun 15, 2023
254 views 3 mins

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Rosemary Senyamule ametoa wito kwa vijana kuchangamkia fursa za Afya Bonanza ili waweze kupima afya zao na kupata elimu kuhusu masuala mbalimbali ya afya. Akitoa wito huo Mkuu wa mkoa Rosemary Senyamule katika ufunguzi wa Bonanza la Afya Mkoa wa Dodoma uliofanyika katika shule ya Msingi Chang’ombe na kufanikiwa jumla […]

FEATURE
on Jun 15, 2023
317 views 2 mins

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene amewataka Watumishi wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kutoka ofisini na kwenda sehemu ambako huduma za kijamii zinatolewa kwa kuwa huko kuna malalamiko mengi ya wananchi kuhusu kutoondewa haki katika kupata huduma. Akizungumza katika kikao hicho kilichofanyika jijini Dodoma […]

FEATURE
on Jun 15, 2023
377 views 2 mins

Mfumuko wa bei nchini umeendelea kuwa ndani ya lengo la wigo wa kuwa chini ya asilimia 5. Mwaka 2022, mfumuko wa bei ulifikia wastani wa asilimia 4.3 ikilinganishwa na wastani wa asilimia 3 Aidha mfumuko wa bei kwa mwaka unaoishia mwezi Mei, 2023 umebaki kama ilivyokuwa kwa mwaka unaoishia mwezi Mei, 2022 ikiwa ni wastani […]

FEATURE
on Jun 15, 2023
206 views 2 mins

Waziri wa fedha na mpango Dkt Mwiguru Lameck Nchemba Leo amewasilisha Utekelezaji wa Bajeti ya Maendeleo ya Mwaka 2022/23 Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Mwaka 2022/23 ambao uliotengewa jumla ya shilingi bilioni 15,006.0, sawa na asilimia 36.2 ya Bajeti ya Serikali ambapo shilingi bilioni 12,306.9, sawa na asilimia 82.0 ya bajeti ya fedha za […]

FEATURE
on Jun 15, 2023
377 views 2 mins

Waziri Mkuu Mhe.Kassim Majaliwa,akiteta jambo na waziri wa Fedha na Mipango,Mhe.Dkt.Mwigulu Lameck Nchemba baada ya kuwasilishwa kwa taarifa ya hali ya uchumi kwa mwaka 2022 na mpango wa maendeleo wa taifa wa mwaka2023/2024 Bungeni jijini Dodoma. Waziri wa Fedha na Mipango,Mhe.Dkt.Mwiguru Lameck Nchemba.Akiwasilisha Taarifa Ya Hali Ya Uchumi Kwa Mwaka 2022 na mpango wa maendeleo […]

FEATURE
on Jun 15, 2023
281 views 43 secs

Manusurika wa boti ya wavuvi iliyozama kusini mwa ugiriki katika mojawapo ya maafa mabaya zaidi ya wahamiaji barani ulaya wanasema karibu watoto 100 huenda walikuwa ndani ya boti hiyo Takribani watu 78 tayari wamethibitishwa kufariki katika maafa hayo Lakini wengine zaidi Bado wamepotelea baharini,huku ripoti zikisema kuwa Hadi watu 750 walikuwa ndani ya boti hiyo […]

FEATURE
on Jun 15, 2023
211 views 57 secs

Uongozi wa yanga umetangaza rasmi kuachana na kocha wake nasredinne nabi baada ya kumaliza mkataba wake katika kikosi hicho. Taarifa iliyotolewa na idara ya habari na mawasiliano wa kabla ya yanga imeeleza kuwa uongozi wa klabu hiyo ulikutana na nabi na kuzungumza naye kuhusu kusaini mkataba mpya lakini nabi ameomba kupewa nafasi ya kwenda kutafuta […]

FEATURE
on Jun 15, 2023
251 views 58 secs

Ni kweli kwamba, mapenzi yanatesa kuliko kitu chochote katika uso wa dunia hii. Ni mapenzi hayohayo ambayo yana nguvu na maumivu makali kuliko maumivu ya kitu chochote unachokijua chenye kusababisha maumivu. Pia ni kweli wapo watu wengi wameumizwa na kuteswa na mapenzi. Wengine wanaendelea kuteseka na kuumia kila siku. Wengine wanatamani kuyaepuka ingawa hawawezi zaidi […]

FEATURE
on Jun 15, 2023
677 views 2 mins

Vita ya soka haijawahi kuisha nchini kuanzia ndani uwanja mpaka mtaani kwa mashabiki. Maafisa Habari nao hawajawahi kupoa, ‘Ukiufumba na Kufumbua’ unakutana na taarifa kedekede zilizojawa kejeli, majigambo, utani kiasi kuhusu vilabu vyao vyenye mamilioni ya mashabiki nchini. Thabith Zakaria maarufu kama Zaka za Kazi ambaye ni Mkuu wa Idara ya Habari na mawasiliano Azam […]