Home > Articles posted by MACHINGA TV (Page 23)
FEATURE
on Mar 2, 2025
71 views 25 secs

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA 📌 *Asema inaongeza  kujiamini* 📌 *Asema Wizara ya Nishati inaiishi kaulimbiu ya  Siku ya Wanawake Duniani 2025* Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali Watu Wizara ya Nishati,  Bi. Ziana  Mlawa ametoa rai kwa Vijana wa Kike kuwa fedha wanazopata watumie pia katika kufanya uwekezaji hali itakayowajengea uwezo  kujiamini zaidi ikiwemo katika maeneo […]

FEATURE
on Mar 2, 2025
88 views 2 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Baraza la Ushauri la Mkoa wa Dar es Salaam (RCC) limepitisha rasimu ya bajeti yake ya mapato na matumizi ya kiasi cha zaidi ya shilingi bilioni 848 kwa mwaka wa fedha 2025/2026 itakayotoa dira ya utoaji huduma muhimu za kijamii pamoja na matumizi ya mishahara kwa watumishi Akizungumza wakati wa  kuwasilisha […]

FEATURE
on Mar 2, 2025
102 views 2 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA MSEMAJI Mkuu wa Serikali na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari,Sanaa,Utamaduni na Michezo Gerson Msigwa amesema serikali ina hazina yakutosha ya dawa za kufubaza virusi vya Ukimwi(ARVs) na kuwatoa  hofu wananchi kuacha kuhifadhi dawa nyumbani. Hayo yamebainishwa leo Machi 1,2025 Jiji Dar es Salaam wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu […]

FEATURE
on Mar 1, 2025
93 views 3 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA *📌 Lengo ni kuyafanya makampuni ya usambazaji mafuta upande wa Kaskazini kutumia Bandari ya Tanga.* *📌 Asema Serikali imeweka mazingira mazuri ya uwekezaji nchini.* *📌Kapinga asema Tanga ni Mkoa muhimu katika sekta ya nishati nchini.* *📌Uwekezaji  huo unaunga mkono na kuchochea matumizi ya  nishati safi ya kupikia.* Rais wa Jamhuri wa […]

FEATURE
on Mar 1, 2025
83 views 4 mins

Na Mwandishi  Wetu, Zanzibar Chama cha Mapinduzi (CCM) kimesema mchakato  wa uwekezaji katika Bandari  ya Malindi kisiwani Unguja umezingatia na kufuata  vigezo ,sifa na taratibu  za kisheria hadi  kupatikana  Kampuni ya Africa Global Logistic  (AGL) Pia CCM kimesisitiza hili la Bandari  limekwisha  hivyo kimemtaka  Makamu  Mwenyekiti  wa ACT  Wazalendo ,  Ismail Jussa Ladhu,  akatafute jengine […]

FEATURE
on Mar 1, 2025
66 views 54 secs

Na Mwandishi Wetu MWANAHABARI Mkurugenzi wa Ufuatiliaji na Tathmini Wizara ya Nishati, Bi. Anita Ishengoma amesema katika utekelezaji wa majukumu ya kisekta Wizara ya Nishati imetoa fursa za usawa kwa wanawake. Bi. Ishengoma ameyasema hayo katika  kuelekea kwenye Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani ambayo huadhimishwa kila tarehe 8 Machi ambapo nchini itaadhimishwa kitaifa mkoani […]

FEATURE
on Feb 28, 2025
86 views 16 secs

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA DAR ES SALAAM: KATIBU Tawala mkoa wa Dar es Salaam Dk. Toba Nguvila amesema katika kuhakikisha usalama katika soko la Kariakoo, tayari serikali kupitia  Halmashauri ya jiji hilo imeshasaini mkataba na Wakalawa Ufundi  na Umeme  Tanzania  TAMESA kwaajili ya ufungaji wa kamera 40 za ulinzi ( CCTV Camera) […]

FEATURE
on Feb 28, 2025
83 views 59 secs

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila  amewataka wananchi na wafanyabiashara wote kuunga mkono ufanyaji biashara saa 24 Dar es Salaam na siyo kupinga kama ilivyo kwa baadhi ya watu wanaobeza mambo makubwa yanapofanyika. Akizungumza katika sherehe za uzinduzi wa ufanyaji biashara wa saa 24 uliofanyika eneo la Soko […]

FEATURE
on Feb 26, 2025
88 views 3 mins

Na Mwandishi Maalum Zanzibar Chama Cha Mapinduzi (CCM )kimekitaka ACT  Wazalendo  kuacha kueneza upotoshaji na kudai kuwa  Uandikishaji wapiga kura  Mikoa wa Kaskazini ” A” na ‘B’  kuna baadhi ya wananchi hawakuandikishwa. CCM kimekanusha na kusema  wananchi wote  waliokidhi vigezo kwa vya sheria ya Ukaazi  na majina yao yamo kwenye Daftari la Sheha wa shehia, […]

FEATURE
on Feb 26, 2025
121 views 2 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA *Dodoma* Imeelezwa kwamba Tanzania ni moja ya nchi katika Bara la Afrika iliyobarikiwa na wingi wa aina mbalimbali za rasilimali madini ambazo zimekuwa kivutio kwa kampuni za uwekezaji kutafuta fursa katika mnyororo wa thamani madini. Hayo yameelezwa leo Februari 26, 2025 na mjiolojia Ambreesh Jha ambaye ni  Mjiolojia Mkuu wa Idara […]