Home > Articles posted by MACHINGA TV (Page 25)
FEATURE
on Feb 24, 2025
79 views 52 secs

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Rais, Dkt. Samia  Suluhu Hassan amesikia kilio cha wananchi wa Bumbuli, mkoani Tanga kuhusu ujenzi wa barabara ya Soni – Bumbuli – Korogwe (km 77), kwa kiwango cha lami ambapo ameeleza kuwa ujenzi wa barabara hiyo utajengwa kwa awamu. Akihutubia wananchi wa Wilaya ya Lushoto mkoani humo katika mkutano wa hadhara […]

FEATURE
on Feb 24, 2025
86 views 3 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Shirika la Reli Tanzania (TRC), limefanya ziara ya nchini Burundi na kukutana na wadau mbalimbali kufuatia kutiwa saini utekelezaji wa Mradi waย  SGR awamu ya pili yaย  kipande cha saba kutoka Uvinza Tanzania naย  kipande cha nane kutoka Malagarasi – Msongati, Burundi. Mkatab wa Mradi huoย  ambao umeasisiwa na Rais wa […]

FEATURE
on Feb 24, 2025
65 views 49 secs

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa  Baraza la Mapinduzi Dkt, Hussein Ali Mwinyi amesema   Serikali itaendelea  kuwaunga Mkono  Wasanii kwani ni  Muhimu katika Kukuza Utalii, Uwekezaji na Urithi wa Utamaduni miongoni mwa Jamii. Rais Dkt. Mwinyi amesema hayo alipolifungua  Tamasha la Tuzo za Muziki la Trace Awards kwa mwaka 2025 linalofanyika  Hoteli ya The Mora […]

FEATURE
on Feb 24, 2025
74 views 3 mins

๐Ÿ“ŒNi mradi wa Agri- Connect uliofungua fursa za kiuchumi Mbozi, Songwe Walanguzi wa mazao ya wakulima wa kahawa, mahindi, mbogamboga na karanga wameondoka baada ya kukamilika kwa ujenzi wa barabara ya Ilolo-Ndolezi yenye urefu wa Km 11.01  kwa kiwango cha lami katika halmashauri ya wilaya ya Mbozi mkoani Songwe. Wakiongea kwa nyakati tofauti baadhi ya […]

FEATURE
on Feb 24, 2025
94 views 2 mins

โ– Ahimiza  Wazazi kusimamia elimu ya watoto wao ipasavyo Na.Mwandishi Wetu -SUMBAWANGA Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Mhe.Deus  Sangu ameonesha kuumizwa na mwitikio mdogo wa elimu Mkoani Rukwa  huku akiwaonya wazazi wenye tabia ya kuwaelekeza watoto wao  kujikosesha au kuchora picha katika  mitihani yao kwa lengo la kujihusisha na shughuli za […]

FEATURE
on Feb 24, 2025
62 views 2 mins

Kampuni ya Ujenzi na Ukarabati wa Miundombinu ya Usafirishaji na Usambazaji wa Umeme nchini (ETDCO) imebuka mshindi katika kipengele cha Mkandarasi Bora wa Ujenzi wa Miundombinu ya Umeme, katika Tuzo za Zanzibar International Construction Awards (ZICA) zilizofanyika Februari 22, 2025, Zanzibar. Akizungumza wakati akikabidhi Tuzo kwa Washindi, Waziri wa Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi Zanzibar Mhe. […]

FEATURE
on Feb 23, 2025
87 views 3 mins

Na. Lusungu helela-MBEYA Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Deus Sangu amezitaka Mamlaka za Serikali za Mitaa kuandaa kanzidata za  wanafunzi waliohitimu Vyuo Vikuu waliotoka kaya za walengwa wa Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) walionufaika na mikopo ya elimu ya juu kwa asilimia 100 katika vyuo […]

FEATURE
on Feb 23, 2025
62 views 43 secs

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA ๐Ÿ“ŒAagizaย  wasimamiwe kwa karibu kumaliza miradi ๐Ÿ“ŒAwataka Watendaji TANESCO kuwa na mahusiano mazuri na wananchi Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Judith Kapinga amewataka watendaji wa Sekta ya Nishati kuwajengea uwezo watoa huduma wanaotekeleza miradi mbalimbali ya sekta ya nishati nchini. Hayo ameyasema leo Februari 23, 2025 na Kapinga wakati akizungumza na […]

FEATURE
on Feb 23, 2025
67 views 2 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGAย  -MAJALIWA _โ–ช๏ธAsema ushiriki wa Rais Dkt. Samia kwenye tuzo hizo ni kielelezo cha namna anavyothamini na kuiishi Imani ya Dini ya Kiislam na uhifadhi wa Qurโ€™aan_ _โ–ช๏ธAsema tuzo hizo zinaimarisha imani ya dini na uwezo kwa vijana._ WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa ametoa wito kwa viongozi wa madhehebu ya dini kuendelea kufundisha […]

FEATURE
on Feb 22, 2025
69 views 3 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA KAMATI ya Kitaifa ya Usimamizi wa Uandaaji wa Mpango Kazi wa Kitaifa wa Haki za Binadamu na Biashara imefanya kikao maalum ambapo Timu ya Wataalam imekabidhi Rasimu ya awali ya Mpango Kazi huo kwa Kamati hiyo kwa ajili ya mapitio na kuidhinishwa. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam […]