Home > Articles posted by MACHINGA TV (Page 29)
FEATURE
on Feb 6, 2025
143 views 27 secs

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kupitia Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA), imethibitisha kuwa ujenzi wa Bwawa la Kidunda mkoani Morogoro umefikia hatua ya asilimia 27, huku mradi ukitarajiwa kukamilika ifikapo mwaka 2026 kwa gharama ya shilingi bilioni 336. Bwawa hili linajengwa kwenye mkondo wa Mto Ruvu na […]

FEATURE
on Feb 6, 2025
80 views 4 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA DAR ES SALAAM – Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA), Joel Laurent, ameongoza kikao muhimu na wazalishaji wadogo na wa kati wa mbolea nchini ili kujadili suala la utekelezaji wa takwa la sheria ya Mazingira la kufanya tathmini ya mazingira. Katika kikao hicho kilicholihusisha Baraza la Taifa […]

FEATURE
on Feb 5, 2025
101 views 2 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA _•       Waanza ujenzi wa Zahanati kuondoa kero kwa wananchi_ _•       Wasaidia upatikanaji wa urahisi wa kokoto katika marekebisho ya ujenzi wa barabara ya Iringa, Dodoma_ MGODI wa Mawe wa Ndolela Quarry uliopo kijiji cha Ndolela jimbo la Isimani mkoani Iringa umeanza ujenzi wa Zahanati kwa kushirikiana na wananchi ambayo itaondoa adha  […]

FEATURE
on Feb 5, 2025
86 views 2 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA 📌 *Lengo ni wananchi kuepuka gharama inayotokana na kuunganisha umeme wakati miradi imekamilika* Naibu Waziri wa Nishati, Mhe Judith Kapinga ametoa rai kwa wananchi kuunganisha huduma ya umeme wakati miradi mbalimbali ya umeme inapotekelezwa ili kuepuka gharama inayoweza kutokea pale miradi inapokuwa imekamilika. Mhe. Kapinga ameyasema hayo leo Februari 05 2025 […]

FEATURE
on Feb 5, 2025
83 views 2 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Tarehe: 04 Februari, 2025; Dodoma.Katika kuendelea kuboresha usambazaji wa taarifa za hali ya hewa kwa jamii kwa kushirikiana na wadau mbalimbali, Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetembelewa na Wataalamu wa Shirika lisilo la Kiserikali la Uhifadhi wa Mazingira na Maendeleo ya Kiuchumi la EMEDO ambalo linalojihusisha na uhifadhi wa […]

FEATURE
on Feb 5, 2025
152 views 25 secs

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA TAARIFA:  EWURA inatangaza Bei Kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli zitakazotumika hapa nchini kuanzia Jumatano ya tarehe  5 Februari, 2025, saa 6:01 usiku. Wafanyabiashara wa rejareja na jumla  wanatakiwa kuuza mafuta kwa bei zilizoidhinishwa na EWURA pekee na yeyote atakayekiuka AGIZO hili atachukuliwa hatua kali kwa mujibu  wa sheria.

FEATURE
on Feb 5, 2025
82 views 2 mins

Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi, Dkt. Pindi Chana (Mb) amezielekeza halmashauri zote nchini kuchukua jukumu la kulinda wananchi dhidi ya wanyamapori wakali na waharibifu kwa kushirikiana na Wizara ya Maliasili na Utalii na taasisi zake. Ameyasema hayo leo Februari 4,2025 Bungeni jijini Dodoma alipokuwa akitoa ufafanuzi kuhusu swali la Mhe. Mhandisi Ezra John […]

FEATURE
on Feb 5, 2025
85 views 6 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA 📌 *Amuagiza Mkurugenzi Mtendaji TANESCO kumchukulia hatua mtaalam aliyemfokea mteja* 📌 *Ataka Mpango Mahsusi wa Nishati uliosainiwa katika Mkutano wa Mission 300 kupewa kipaumbele* 📌 *PURA, REA, EWURA zang’ara tathmini ya utendaji kazi Taasisi chini ya Wizara ya Nishati* Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ameeleza […]

FEATURE
on Feb 2, 2025
90 views 2 mins

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Waandishi wa Habari wa Kimtandao Tanzania (JUMIKITA), Shaabani Matwebe, amesema Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imewapatia waandishi wa habari wa mtandaoni nafasi kubwa ya kushiriki katika shughuli za kitaifa, tofauti na ilivyokuwa awali. Akizungumza katika kipindi cha Medani za Siasa kinachorushwa na Star TV, […]

FEATURE
on Feb 1, 2025
147 views 3 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana, ambaye alikuwa Mgeni Rasmi katika hafla ya utangazaji wa takwimu za watalii na mapato yatokanayo na utalii kwa mwaka 2024, amezindua rasmi taarifa hizo katika hafla iliyofanyika katika Hoteli ya Serena, jijini Dar es Salaam. Kwa mujibu wa takwimu zilizotangazwa, jumla […]