Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA -DODOMA RAIS Samia Suluhu Hassan ametangaza kufuta sherehe za miaka 63 ya Uhuru wa Tanzania Bara na badala yake fedha zilizotengwa zitumike kusaidia huduma za kijamii. Kutokana na hali hiyo amesema kuwa fedha zilizotengwa katika kila taasisi kwa ajili ya maadhimisho hayo zielekezwe katika kutoa huduma za kijamii, huku akieleleza kila […]
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Waziri Mkuu mstaafu wa Tanzania Jaji Joseph Sinde Warioba alizungumza na wanahabari siku ya Jumatano Desemba 04, 2024 mkoani Dar es Salaam kuhusu uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika Novemba 27, 2024. Jaji Warioba awataka vyama vya upinzani kuacha malalamiko dhidi ya uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwani ni dhahili kwamba […]
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA SERIKALI BEGA KWA BEGA NA WAFANYABIASHARA KUTATUA CHANGAMOTO ZAO Rais Samia Apongezwa Kuifungua Nchi Kiuchumi Dkt. Biteko Awahimiza Wafanyabiashara Kulipa Kodi Kwa Maendeleo ya Nchi Serikali Yapongezwa Kwa Kuwekeza Kwenye Miundombinu Serikali imesema itaendeleza jitihada zake za kuweka mazingira wezeshi ya kufanya biashara kwa lengo la kuboresha shughuli za biashara, uwekezaji […]
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA IMEELEZWA kwamba Rais wa Jamhuri wa Muungano Tanzania, Samia Suluhu Hassan, kutoa Sh bilioni 429.1 kwa ajili ya uwekezaji katika bandari ya Tanga, sasa matunda yameanza kuonekana. Rais Samia alitoa kiasi hicho cha fedha kwa ajili ya uboreshaji wa bandari hiyo. Akizungumza jijini Tanga, meneja wa bandari hiyo, Masoud ,Mrisha, alisema […]
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe, Selemani Jafo amemuelekezea katibu Mkuu wizara ya hiyo kuwasilisha changamoto zote za kisheria na kanuni zinazo kwamisha wafanyabiashara kushidwa kushiriki vizuri katika upande wa ushindani na zitafutiwe ufumbuzi ili kuhakikisha sekta ya biashara inakuwa nchini. Waziri Jafo ametoa maagizo hayo leo jijini Dar es salaam […]
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Ni katika Mkutano wa Kikanda wa Matumizi Bora ya Nishati (REEC 2024) Dkt. Jafo asema maendeleo ya Viwanda yanategemea uwepo wa Nishati ya kutosha Mkutano wa Kikanda wa Matumizi Bora ya Nishati uliohusisha Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) na Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) uliomalizika leo […]
Na Kassim Nyaki NCAA Kufuatia Mamlaka ya Hifadhi ya eneo la Ngorongoro (NCAA) kuzindua msimu ya kampeni ya kuhamasisha utalii kwa wananchi kuelekea msimu wa sikukuu za mwisho wa mwaka vijana wa Action Rollers Skates wako katika mitaa mbalimbali ya jiji la Arusha kutangaza kampeni hiyo. Vijana hao ni sehemu ya njia mbalimbali zinazotumiwa na […]
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Katika kuadhimisha kumbukumbu ya Miaka 63 ya Uhuru wa Tanganyika, Bodi ya Utalii Tanzania – TTB kupitia Kampeni ya “TWENZETU KILELENI” inapeleka Tuzo za ubora katika paa la Afrika, Tuzo zilizotolewa na World Travel Award, TTB imeshinda kama Bodi Bora Barani Afrika kwa miaka mitatu mfululizo (2022,2023 na 2024), zoezi hili […]
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Dkt. Biteko Amwakilisha Rais Samia Kufunga Mkutano AAAG Asema Afrika Inawategemea Wahasibu Kunufaika na Utajiri wake Asisitiza Matumizi ya Teknolojia kwa Wahasibu Afrika Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Doto Biteko amewaasa wahasibu barani Afrika kuisimamia taaluma yao kikamilifu ili kuendeleza umuhimu na mchango na ukuaji wa uchumi […]
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Akagua utekelezaji wa miradi ya umeme wilayani Monduli* Asema fedha za miradi ya umeme zitasimamiwa ipasavyo kutekeleza ajenda ya umeme kwa wote* Ampongeza Dkt.Samia kwa hatua kubwa iliyopigwa umeme vijijini* Naibu Waziri wa Nishati Mhe. Judith Kapinga, amesema umeme ni ajenda kubwa ya Serikali ya Awamu ya Sita inayolenga kufikisha umeme […]