Home > Articles posted by MACHINGA TV (Page 97)
FEATURE
on Jul 16, 2024
212 views 12 secs

Na Mwandishi wetu WAMACHINGA Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Julai 15, 2024 amekagua na kuzindua mitambo na vifaa vipya vya kurushia matangazo vya kampuni ya Azam Media Limited. Vifaa hivyo ni pamoja na Magari ya kisasa ya kurushia matangazo (OB Van), kamera za kisasa pamoja na mfumo wa kusaidia maamuzi viwanjani (VAR). Vifaa hivyo vilivyogharimu […]

FEATURE
on Jul 15, 2024
426 views 22 secs

Na Mwandishi wetu WAMACHINGA Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameahidi kufanya filamu nyingine ya Royal Tour katika Hifadhi ya Taifa ya Katavi baada ya kujionea wanyamapori mbalimbali katika Hifadhi hiyo. Dkt. Samia ameyasema hayo leo Julai 15, 2024 alipokuwa akizungumza na wananchi  katika Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe, […]

FEATURE
on Jul 14, 2024
433 views 2 mins

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA KUTOKANA NA Sera nzuri za Uwekezaji zilizowekwa na Serikali ya Awamu ya Sita, Mkoa wa Mtwara umepata mwekezaji mpya wa uchimbaji wa gesi asilia atakayezalisha futi za ujazo milioni 100 kwa siku. Hayo yamebainishwaย  Julai 11, 2024 na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa […]

FEATURE
on Jul 14, 2024
203 views 54 secs

Na Beatus Maganja Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Nchini – TAWA Mej. Jen. (Mstaafu) Hamis Semfuko amewahimiza watanzania kuchangamkia fursa za ufugaji wa wanyamapori zinazopatikana katika Taasisi ya TAWA. Ameyasema hayo leo Julai 13, 2024 alipotembelea banda la Wizara ya Maliasili na Utalii Katika Maonesho ya 48 ya biashara […]

FEATURE
on Jul 12, 2024
271 views 34 secs

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA

FEATURE
on Jul 12, 2024
291 views 15 secs

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA Mamlaka ya Dawa na vifaa tiba TMDA imewataka watanzania kuacha kutumia dawa kiholela bila kufuata maelekezo na ushauri wa wataalamu badala yake amesisitiza matumizi sahihi ya dawa Ili kupunguza tatizo la usugu wa maradhi. Hayo Ameyasema Leo 9 julai 2024 mkurugenzi mkuu wa TMDA Adam Fimbo Amesema Katika […]

FEATURE
on Jul 12, 2024
376 views 40 secs

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA

FEATURE
on Jul 12, 2024
212 views 2 mins

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA Waziri wa Kilimo Hussein Bashe amezitaka nchi za Afrika kuwa na sera nzuri za uwekezaji katika sekta ya kilimo ili kuharakisha maendeleo ya sekta hiyoย  na kukuza uchumi wa Afrika. Akizungumza wakati wa kuzindua mpango mkuu wa maendeleo wa mifumo ya chakula 2030 uliofanyika jijini Dar es Salaam, […]

FEATURE
on Jul 12, 2024
448 views 2 mins

Na Mwandishi wetu WAMACHINGA Naibu waziri wizara ya Uchukuzi David Kihenzile ameeleza kuridhishwa kwake na kasi ya ujenzi wa uwanja wa ndege wa kimataifa wa Msalato mkoani Dodoma ambao umefikia asilimia 67.6 kwa upande wa miundombinu ya njia ya kurukia ndege huku ukiwa umefikia asilimia 32.21 kwa upande wa jengo la abiria. Naibu Waziri Kihenzile […]

FEATURE
on Jul 11, 2024
262 views 5 mins

Na Mwandishi wetu WAMACHINGA Rais William Ruto amelivunja baraza lake la mawaziri na kuziacha nafasi mbili pekee-ya Kiongozi wa mawaziri na Waziri wa Masuala ya Kigeni Musalia Mudavadi na afisi ya naibu wa rais Rigathi Gachagua . Amesema atachukua muda kufanya majadiliano ya kuunda baraza jipya la mawaziri litakalohusika na uendeshaji wa serikali. Mara moja […]