‘JIBOOST NA AIRTEL’ KUJA KWA KISHINDO ELFU 20 TU KUPATA SUPA BONASI
Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA Kampuni ya Mtandao wa simu Airtel Tanzania leo imezindua promosheni mpya ya ‘JiBoost na Airtel Money’ ambayo i nawapa nafasi watumiaji wa Airtel Money kujipatia shilingi 20,000 taslim ya supa bonasi kupitia miamala ya kila siku watakayofanya. Aidha Mpango huo ni sehemu ya maono ya kampuni ya Airtel […]