KITAIFA
April 16, 2025
38 views 3 mins 0

WAZIRI MKUU AKAGUA ATHARI ZA MVUA LINDI,  ATOA MAELEKEZO KWA MAMENEJA WA TANROADS NCHINI

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameagiza Mameneja wa Wakala wa Barabara (TANROADS) wote nchini kuhakikisha wanakagua vipenyo vya makalvati na madaraja yote katika maeneo yao kabla na baada ya msimu wa mvua ili  kujiridhisha  kama vinapitisha maji kwa urahisi bila kuathiri barabara. Majaliwa ametoa maelekezo hayo  leo Aprili 16, 2025 mara baada ya kuwasili mkoani Lindi […]

KITAIFA
April 08, 2025
53 views 2 mins 0

MAWASILIANO SOMANGA- MTAMA YAANZA KUREJEA ABIRIA WASHUKURU

Mawasiliano ya Barabara Somanga – Mtama yameanza kurejea kwa hatua katika barabara iendayo mikoa ya Kusini tangu leo alfajiriย  baada ya wataalamu wa Wakala wa Barabara (TANROADS) kufanya kazi usiku na mchana kurekebisha eneo la Somanga na Matandu lililoharibiwa na mvua na kufanya njia isipitike. Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, ambaye ameweka kambi katika eneo […]