KITAIFA
April 22, 2025
36 views 39 secs 0

VITONGOJI 82 TARIME VIJIJINI KUPELEKEWA UMEME NA  MRADI WA HEP IIB-KAPINGA

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA *๐Ÿ“ŒTaasisi 3000 zaunganishiwa umeme na fedha za Covid 19* Vitongoji 82 ambavyo bado havijafikiwa na umeme katika Wilaya ya Tarime mkoni Mara vitapelekewa umeme kupitia Mradi wa Kupeleka Umeme Vitongojini Awamu ya Pili Bย  (HEP IIB) ambapo tayari zabuni ya kuwapata wakandarasi wa mradi huo imeshatangazwa na inatarajiwa kufunguliwa hivi karibuni. […]

KITAIFA
April 22, 2025
34 views 2 mins 0

WABUNGE WAITAKA WIZARA YA FEDHA IIPE FEDHA WIZARA YA TAMISEMI ITEKELEZE MAJUKUMU YAKE

Na Mwandishi wetu, Dodoma WABUNGE mbalimbali wameipongeza Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) kwa ufanisi wao ambao wamekuwa wakiufanya katika kuhakikisha miundombinu, elimu, afya na mambo mengine yanafanyika kwa ustadi mkubwa. Akichangia bungeni bajeti ya TAMISEMI kwa mwaka wa fedha 2025/2026 Mbunge wa jimbo la Korogwe Vijijini Mhe Timotheo Mnzava […]

KITAIFA
February 11, 2025
99 views 36 secs 0

TANESCO, EWURA IMEWEKA MWONGOZO WA GHARAMA  ZA KUUNGANISHA UMEME- KAPINGA

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA *๐Ÿ“Œ Asema Serikali imeweka ruzuku kwenye miradi ya umeme Vijijini.* Naibu Waziri wa Nishati, Mhe Judith Kapinga amesema,Serikali kupitia Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) na Mamlaka ya Udhibiti Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imeweka mwongozo wa gharama za kuunganisha umeme kwa wateja, ambapo gharama hizo hutofautiana kulingana na hali ya […]

KITAIFA
February 05, 2025
84 views 2 mins 0

WANANCHI WATAKIWA KUTUMIA FURSA YA MIRADI KUUNGANISHA UMEME – MHE. KAPINGA

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA ๐Ÿ“Œ *Lengo ni wananchi kuepuka gharama inayotokana na kuunganisha umeme wakati miradi imekamilika* Naibu Waziri wa Nishati, Mhe Judith Kapinga ametoa rai kwa wananchi kuunganisha huduma ya umeme wakati miradi mbalimbali ya umeme inapotekelezwa ili kuepuka gharama inayoweza kutokea pale miradi inapokuwa imekamilika. Mhe. Kapinga ameyasema hayo leo Februari 05 2025 […]

KITAIFA
November 08, 2024
190 views 6 mins 0

KAPINGA ASEMA MAFANIKIO KATIKA SEKTA YA NISHATI YANATOKANA NA JITIHADA ZA RAIS SAMIA

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Ni wakati akitoa mchango Bungeni kuhusu Mpango wa Taifa wa Maendeleo* Ataja kuongezeka kwa kiasi cha umeme katika Gridi ya Taifa* Aeleza usambazaji umeme vijijini ulivyofanyika kwa mafanikio; Vijiji 78 Tu vyasalia* Aeleza jitihada zilizofanyika Sekta ya Mafuta na Gesi Asilia; Utoaji wa Leseni na Duru ya Tano ya kunadi vitalu* […]

KITAIFA
November 06, 2024
133 views 2 mins 0

SERIKALI YAELEZA JITIHADA INAZOCHUKUA KUWEZESHA MATUMIZI YA GASI KWENYE MAGARI

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Kapinga atajaย  msamaha wa kodi asilimia 25 kwa injini za magari yanayotumia gesi asilia iliyotolewa 2023/2024 Aeleza Serikali ilivyojidhatiti kupeleka umeme kwenye maeneo yote nchini* Naibu Waziri wa Nishati, Mhe Judith Kapinga amesema kupitia Bajeti Kuu Serikali ya mwaka 2023/24 Serikali ilitoa msamaha wa kodi ya ushuru wa forodha (customs duty) […]

KITAIFA
October 31, 2024
112 views 58 secs 0

SERIKALI KUJA NA MRADI WA KUIMARISHA UPATIKANAJI UMEME VITONGOJINI-MHE KAPINGA

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Kuhusisha transfoma za kVA50, 100 na 200* Vitongoji ambavyo havijapata umeme kufikiwa* Naibu Waziri wa Nishati, Mhe Judith Kapinga amesema Serikali inatarajia kuanza mradi mpya wa upelekaji umemeย  vitongojini utakaohusisha ujenzi wa njia za kati na ndogo za kusafirisha umeme. Mhe. Kapinga ameyasema hayo leo Oktoba 31, 2024 bungeni jijini Dodomaย  […]

KITAIFA
October 29, 2024
149 views 59 secs 0

VIJIJI VYOTE NEWALA VIMEFIKIWA NA UMEME-MHE KAPINGA

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Asisitiza dhamira ya Serikali ni kupeleka umeme maeneo yote* Naibu Waziri Nishati, Mhe Judith Kapinga amesema Vijiji vyote 76 vya Jimbo la  ya Newala Vijijini Mkoa wa Mtwara vimefikiwa na huduma ya umeme kwa umbali wa kilometa 1. Mhe. Kapinga ameyasema hayo leo Oktoba 29, 2024 bungeni jijini Dodoma  wakati akijibu […]

KITAIFA
September 05, 2024
262 views 25 secs 0

MHE CHANA AHUDHURIA MKUTANO WA 16 KIKAO CHA 8 CHA BUNGE

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi, Dkt. Pindi Chana (Mb) amehudhuria Mkutano wa 16 Kikao cha 8 cha Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo Septemba 5, 2024 jijini Dodoma. Shughuli za bunge  leo zilikuwa ni pamoja uchaguziwa mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA), Dkt. Gladness Salema.

KITAIFA
August 29, 2024
349 views 28 secs 0

SERIKALI KUENDELEZA MJADALA NA KAMPUNI ZA NISHATI ZA KIMATAIFA

Na Mwandishi Wetu DODOMA Serikali inaendelea na majadiliano na Kampuni za Nishati za Kimataifa kwa ajili ya kutekeleza Mradi wa kuchakata na kusindika Gesi Asilia ili kuwa kimiminika-LNG. Kauli hiyo imetolewa na Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Judith Kapinga alipokuwa akijibu swali bungeni kwa niaba ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. […]