KITAIFA
April 24, 2025
30 views 3 mins 0

WAZIRI MKUU: SERIKALI KUENDELEZA MABONDE NCHINI

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali inaendelea na mpango wa kuyaendeleza mabonde nchini kwa kuyatumia kutoa huduma za kijamii ikiwemo upatikanaji wa maji na nishati ikiwa ni mkakati wa kukabiliana na mafuriko. Amesema moja ya mkakati uliochukuliwa na Serikali ni kuunda mamlaka za mabonde zenye wajibu wa kufanya ufuatiliaji wa mwenendo upitishaji maji na […]

KITAIFA
April 14, 2025
33 views 3 secs 0

TPDC,  ZPDC  ZAENDELEA    KUSHIRIKIANA UENDELEZAJI SEKTA YA GESI NCHINI

Na Mwandishi Wetu Naibu Waziri wa Nishati, Mhe Judith Kapinga amesema Serikali kupitia Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) mwezi Februari, 2022 liliingia makubaliano ya ushirikiano na Shirika la Maendeleo ya Petroli Zanzibar (ZPDC) ambapo kupitia ushirikiano huo masuala mbalimbali yamekuwa yakifanyika kuiendeleza Sektaย  ikiwemo kubadilishana ujuzi na utaalam. Mhe. Kapinga ameyasema hayo leo […]

KITAIFA
April 09, 2025
53 views 43 secs 0

VITONGOJI 9000 KUSAMBAZIWA UMEME MWAKA  2025/2026- KAPINGA

*๐Ÿ“Œ Majimbo yaendelea kufaidika na mradi wa  umeme wa Vitongoji 15.* Naibu Waziri wa Nishati, Mhe Judith Kapinga amesema Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imekamilisha kazi ya kupeleka  umeme kwenye Vijiji vyote Tanzania Bara na  nguvu sasa inaelekezwa kwenye vitongoji. Mhe. Kapinga  ameeleza kuwa, pamoja na kazi ya kupeleka umeme vitongojini inayoendelea sasa,  […]

KITAIFA
January 30, 2025
109 views 2 mins 0

KUUNGANISHA UMEME MAENEO YA VIJIJI NI ELFU 27 โ€“ KAPINGA

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA ๐Ÿ“Œย  Asema kuunganisha umeme maeneo ya Vijiji Mji ni shilingi 320.960/- ๐Ÿ“Œย  Kapinga asema maeneo ya Kerwa umeme umeshafika Makao Makuu ya Vijiji Naibu Waziri wa Nishati, Mhe Judith Kapinga kwa niaba ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Bitekoย  amesema uunganishaji wa umeme kwenye maeneo ya […]

KITAIFA
August 30, 2024
215 views 2 mins 0

KAPINGA BEI YA UMEME TANZANIA NI NAFUU KULIKO NCHI NYINGINE ZA AFRIKA MASHARIKI

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Ni kutokana na Serikali kuweka ruzuku katika kila uniti* Aelezea ruzuku inayotolewa na Serikali kufikisha umeme visiwani* Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Judith Kapinga amesema gharama ya kununua umeme nchini ipo chini ukilinganisha na Nchi nyingine za Afrika Mashariki. Hii ni kutokana na Serikali kuweka ruzuku kwenye gharama ya mwananchi kununua […]

KITAIFA
June 18, 2024
204 views 3 mins 0

MRADI WA TAZA KUBORESHA HUDUMA YA UMEME MAFINGA

Na Mwandishi wetu WAMACHINGA ๐Ÿ“Œ *Vituo vya kupoza umeme kujengwa kuimarisha usambazaji umeme* ๐Ÿ“Œ *Taasisi zapewa kipaumbele miradi ya usambazaji umeme* DODOMA Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Judith Kapinga amesema Serikali kupitiaย  Shirika la Umeme Tanzania(TANESCO) inatekeleza Mradi wa Njia ya Kusafirisha Umeme wa Msongo Mkubwa wa Kilovolti 400 waย  Tanzania na Zambia (TAZA) kupitia […]