KITAIFA
April 24, 2025
30 views 4 mins 0

DCEA YAKAMATA KILO 4,568 ZA DAWA ZA KULEVYA, yazuia tani 14 za kemikali bashirifu za bangi kuingia nchini, yateketeza ekari 178 za mashamba ya bangi na magari saba

NA MWANDISHI WETU MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA), kwa kushirikiana na vyombo mbalimbali vya dola, imefanikiwa kukamata jumla ya kilogramu 4,568 za dawa za kulevya, kuteketeza ekari 178 za mashamba ya bangi na magari saba, pikipiki tano na bajaji moja zimekamatwa kwa kuhusika katika shughuli za usafirishaji wa dawa hizo.  […]

KITAIFA
March 26, 2025
60 views 4 mins 0

DCEA YAMNASA KINARA WA MIRUNGI,YATEKETEZA EKARI 285.5 SAME

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA), kwa kushirikiana na vyombo vingine vya dola, imefanya operesheni maalum wilayani Same, mkoani Kilimanjaro kuanzia tarehe 19 hadi 25 Machi 2025. Katika operesheni hiyo, ekari 285.5 za mashamba ya mirungi zimeteketezwa na watuhumiwa saba (7) wamekamatwa, akiwemo kinara wa biashara haramu […]

KITAIFA
February 18, 2025
108 views 6 mins 0

DCEA YATEKETEZA EKARI 336 ZA MASHAMBA YA BANGI WILAYA YA KONDOA,DODOMA

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) kwa kushirikiana na vyombo vya ulinzi na usalama, imeteketeza ekari 336 za mashamba ya bangi yaliyokuwa ndani ya hifadhi ya Ikome wilaya ya Kondoa mkoani Dodoma yakiwa yamechanganywa na mazao mengine halali ili kuficha shughuli hiyo haramu, Aidha, katika operesheni hiyo, […]

KITAIFA
December 07, 2024
129 views 2 mins 0

DCEA YATEMBELEWA NA NAIBU KATIBU MSAIDIZI WA INL NA UJUMBE WAKE, lengo kutambua mafanikio ya mamlaka hiyo…

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) leo imepokea ziara ya Naibu Waziri Msaidizi  ( Deputy Assistant Secretary,  Bureau of International  Narcotics And Law Enforcement) wa Shirika la Kimataifa la Dawa za Kulevya na Masuala ya Sheria (INL), Maggie Nardi, pamoja na ujumbe wake. Ziara hiyo imelenga kuipongeza […]