KITAIFA
April 27, 2025
34 views 2 mins 0

ETDCO WAKAMILISHA MRADI WA KILOVOLTI 132 TABORA – IPOLE

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Kampuni ya Ujenzi na Ukarabati wa Miundombinu ya Usafirishaji na Usambazaji wa Umeme (ETDCO) imekamilisha ujenzi wa Mradi wa laini ya msongo wa Kilovolti 132 yenye urefu wa kilomita 102 kutoka Tabora hadi Ipole, ambao utawasaidi Wananchi wa Wilaya ya Sikonge kupata huduma ya Umeme wa uhakika na kuchochea maendeleo. Akizungumza […]

KITAIFA
July 10, 2024
177 views 8 secs 0

EDTCO YAENDELEA KUSAMBAZA UPENDO MAONESHO YA SABASABA

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA Kampuni ya Ujenzi na Ukarabati wa Miundombinu ya Usafirishaji na Usambazaji Umeme EDTCO imejipanga kuhakikisha inakamilisha miradi mbalimbali ya Usambazaji Umeme  Nchini inakamilika katika kipindi Cha mwaka wa fedha 2024, 2025. Ameyabainisha hayo Mkurugenzi wa Huduma za Ufundi EDTCO Dismas Masawe mara baada ya kukutana Waandishi wa Habari […]