POLISI DAR YAIPIGA MARUFUKU CHADEMA KULETA VURUGU MAHAKAMANI
Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA Jeshi la polisi kanda maalumu dar es salaam limesema kuwa kuanzia April 18,2025 waumini wa dini ya kikristo wanaanza kuungana na wenzao duniani Kwa kusheherekea sikukuu ya pasaka itakayo sheherekewa Tarehe 20, April 2025 ambayo itahusisha Ibada mbalimbali zitakazo fanyika Katika nyumba za Ibada usiku na mchana Ameyasema […]