KITAIFA
June 27, 2023
216 views 3 mins 0

Wanazuoni wameliomba Jeshi la polisi kuendana na mabadiliko ya Dunia ya Tehama

Wasomi na wanazuoni wameliomba Jeshi la Polisi kuendana na mabadiliko ya duniani ya sasa ambayo imejikita zaidi katika tehama na tafiti ambazo zitaleta tija katika jamii na Taifa kwa ujumla husasani katika kukabiliana na uhalifu ukiwemo wa kimtandao ambao umeshika kasi kwa sasa Akizungumza mara baada ya kukabidhi vitabu zaidi ya mia tano vilivyo katika […]

KITAIFA
June 17, 2023
386 views 54 secs 0

JAJI MKUU MSTAAFU OTHMAN AWATAKA MAJAJI WAPYA WA RUFANI KUKIDHI MATARAJIO YA WANANCHI

Jaji Mkuu Mstaafu wa Tanzania, Mhe. Mohamed Chande Othman amewataka Majaji wapya wa Mahakama ya Rufani Tanzania, kutambua kuwa wananchi wana matumaini makubwa na uteuzi wao, hivyo wana wajibu wa kuhakikisha wanakidhi matarajio yao na ya wadau wengine kwenye masuala ya sheria. Akizungumza Jaji Mkuu Mstaafu Mhe. Othman amesema hayo wakati akiwasilisha mada katika Mafunzo […]