TMA NA EMEDO WAONGEZA NGUVU USAMBAZAJI WA TAAARIFA ZA HALI YA HEWA ZIWA VICTORIA
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Tarehe: 04 Februari, 2025; Dodoma.Katika kuendelea kuboresha usambazaji wa taarifa za hali ya hewa kwa jamii kwa kushirikiana na wadau mbalimbali, Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetembelewa na Wataalamu wa Shirika lisilo la Kiserikali la Uhifadhi wa Mazingira na Maendeleo ya Kiuchumi la EMEDO ambalo linalojihusisha na uhifadhi wa […]
TMA YATOA UTABIRI WA MVUA ZA MASIKA
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imesema Mvua za Masika zinatarajiwa kuanza Machi 2025 katika maeneo yanayopata misimu miwili ya mvua, hasa Kanda ya Ziwa Victoria, Nyanda za Juu Kaskazini Mashariki, Pwani ya Kaskazini, na kaskazini mwa Mkoa wa Kigoma. Akitoa taarifa hiyo leo Jijini Dar es Salaam Kaimu Mkurugenzi […]
SERIKALI IMEENDA KUFANYA UWEKEZAJI MKUBWA KATIKA TMA
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, imeendelea kufanya uwekezaji mkubwa katika Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini ikiwemo upande wa miundombinu ya uangazi wa hali ya hewa na kujenga uwezo wa wafanyakazi. Kauli hiyo imetolewa na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, leo (Jumanne, Januari 21, […]