KITAIFA
April 21, 2025
41 views 9 secs 0

BALOZI NCHIMBI ATOA SALAMU ZA PASAKA KATIKA MTOKO ULIONDALIWA NA WASANII WA INJILI

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, ametoa salamu za Sikukuu ya Pasaka katika Tamasha la Mtoko wa Pasaka lililoandaliwa na Wasanii wa Muziki wa Injili nchini. Hafla hiyo iliyofanyika Jumapili tarehe 20 Aprili 2025 katika Ukumbi wa Super Dome, Masaki, jijini Dar es Salaam, ilihusisha […]

BURUDANI
April 08, 2025
72 views 51 secs 0

MAMA ONGEA NA MWANAO YAMSAPOTI CHRISTINA SHUSHO KWA TAMASHA LA MTOKO WA PASAKA

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Taasisi ya Mama Ongea na Mwanao imetangaza kuunga mkono juhudi za mwimbaji mashuhuri wa nyimbo za injili, Christina Shusho, katika maandalizi ya tamasha la Mtoko wa Pasaka linalotarajiwa kufanyika Aprili 20 katika ukumbi wa Super Dome, Dar es Salaam. Tamasha hilo litajumuisha nyimbo za injili, maombi, pamoja na utoaji wa misaada […]