KITAIFA
April 26, 2025
33 views 8 mins 0

MIAKA 61 YA MUUNGANO DKT. BITEKO AHIMIZA VIONGOZI KUACHA ALAMA

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA 📌 Asisitiza umoja na ushirikiano Arusha 📌 Awataka Watanzania kuenzi Muungano Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewataka Watanzania kuishi kwa upendo na kushirikiana kwa maslahi mapana ya jamii na Taifa kwa ujumla. Amesema katika kilele cha maadhimisho ya miaka 61 ya Muungano ambapo amewahimiza Watanzania […]

KITAIFA
June 09, 2024
359 views 2 mins 0

KURA 7,092 ZAMPA UBUNGE ‘PELE’ JIMBO LA KWAHANI

Na Mwandishi wetu, Zanzibar Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) kupitia Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Kwahani-Zanzibar Bi.Safia Iddi Muhammad imemtangaza Bw.Khamis Yussuf Mussa kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwa mshindi wa Kiti cha Ubunge katika Jimbo la Kwahani. Mussa almaarufu Pele ameibuka mshindi wa kiti hicho baada ya kupata Kura 7,092 Kati ya […]