KITAIFA
July 14, 2024
424 views 2 mins 0

MTWARA IMEPATA UWEKEZAJI MPYA WA UCHIMBAJI WA GESI ASILIA WENYE FUTI MILIONI 100

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA KUTOKANA NA Sera nzuri za Uwekezaji zilizowekwa na Serikali ya Awamu ya Sita, Mkoa wa Mtwara umepata mwekezaji mpya wa uchimbaji wa gesi asilia atakayezalisha futi za ujazo milioni 100 kwa siku. Hayo yamebainishwaย  Julai 11, 2024 na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa […]

KITAIFA
March 29, 2024
231 views 4 mins 0

PURA yapongezwa usimamizi wa miradi ya CSR

Na Mwandishi Wetu Lindi DIWANI wa Kata ya Songo Songo, Mkoani Lindi, Hassan Swalehe Yusuph ameipongeza Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) kwa usimamizi bora wa Miradi ya Uwajibikaji kwa Jamii (CSR) iliyofanywa na kampuni zinazozalisha gesi asilia katika kisiwa cha Songo Songo. Yusuph ametoa pongezi hizo hivi karibuni wakati akizungumza na […]

KITAIFA
March 13, 2024
320 views 4 mins 0

PURA NA DMI KUSHIRIKIANA KUTOA MAFUNZO KATIKA SEKTA YA GESI NA MAFUTA BAHARINI

*Vitachimbwa visima vya ziada Zaidi ya 30 vya Bahari *Jumla ya futi za ujazo zilizogundulika trilioni 57.54 zote ni za gesi asilia MADINA MOHAMMED DAR ES SALAAM Mamlaka ya udhibiti mkondo wa juu wa petroli(PURA) na Chuo Cha Bahari Dar es salaam(DMI) Leo wametiaa Saini mkataba wa hati ya mashirikiano Hati hiyo inayohusu Mashirikiano Kwenye […]