REA YAHAMASISHA FURSA YA MKOPO UJENZI WA VITUO VIDOGO VYA BIDHAA ZA MAFUTA VIJIJINI
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA 📌Watanzania watakiwa kuchangamkia ujenzi wa vituo vidogo vya mafuta ya Dizeli na Petroli Vijijini 📌TAPSOA yaipongeza REA kwa kuhamasisha upatikanaji wa uhakika wa bidhaa za mafuta vijijini kwa usafi na usalama 📍Dar es Salaam Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) inaendelea kuwahamasisha Watanzania kuchangamkia fursa ya mikopo kwa […]