KITAIFA
October 16, 2024
240 views 2 mins 0

REA YAPELEKA UMEME VITONGOJI 120 KIGOMA

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Rais Samia ametoa shilingi bilioni 14 kutekeleza mradi huo. Mradi kupeleka umeme katika vitongoji 15 kwa kila jimbo Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imeanza kutekeleza mradi wa kupeleka umeme kwenye majimbo 15 ya Mkoa wa Kigoma ambao utawezesha jumla ya vitongoji 120 kupata umeme wa uhakika utakaowarahisishia kufanya shughuli za kiuchumi […]

KITAIFA
October 09, 2024
325 views 2 mins 0

RAIS SAMIA AIWEZESHA REA RUZUKU MITUNGI YA GESI

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA REA kusambaza mitungi ya gesi 3,225 Gairo, yaendelea kugawa majiko banifu kwa wananchi Na MWANDISHI WETU -GAIRO RAIS Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa ruzuku ya bei kwenye mitungi ya gesi inayotolewa na Wakala wa Nishati Vijijini (REA) ili Watanzania watumie nishati safi na salama kwa afya zao pamoja na kuhifadhi mazingira […]

KITAIFA
October 07, 2024
234 views 2 mins 0

REA YAANZA KUGAWA MAJIKO BANIFU KWA WANANCHI

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Yashiriki Samia Kilimo Biashara Expo 2024 Kugawa majiko 790 Wilaya ya Gairo Yanatunza mazingira na rafiki kwa afya ya watumiaji Imeelezwa kuwa, Majiko Banifu yanayotolewa na Wakala wa Nishati Vijijini (REA) katika Maonesho ya Samia KILIMO Biashara Expo 2024 yanapatikana kwa gharama nafuu, yanatunza mazingira, yanadumu na rafiki kwa afya ya […]