KAMERA 40 KUFUNGWA SOKO LA KARIAKOO
Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA DAR ES SALAAM: KATIBU Tawala mkoa wa Dar es Salaam Dk. Toba Nguvila amesema katika kuhakikisha usalama katika soko la Kariakoo, tayari serikali kupitia Halmashauri ya jiji hilo imeshasaini mkataba na Wakalawa Ufundi na Umeme Tanzania TAMESA kwaajili ya ufungaji wa kamera 40 za ulinzi ( CCTV Camera) […]