KITAIFA
April 27, 2025
36 views 2 mins 0

TANESCO YAANZA RASMI ZOEZI LA KULIPA FIDIA WANANCHI WALIOPISHA UJENZI WA MIRADI YA UMEME

Mtwara, Ruvuma ๐Ÿ“ŒNi mradi wa ujenzi wa njia kubwa ya kusafirisha umeme wa kilovoti 220 Tunduru -Masasi . ๐Ÿ“ŒJumla ya shilingi Bilioni 4.7 kutumika kulipa fidia  kwa wananchi ๐Ÿ“ŒWananchi waahidi kuyahama maeneo  ndani ya siku 30 walizopewa. Jumla ya wananchi 1,526  wanatarajia kunufaika na malipo ya fidia ya shilingi Bilioni 4.7 baada ya kupisha Mradi […]

KITAIFA
March 30, 2025
54 views 3 mins 0

TANESCO YAIBUKA KINARA TUZO ZA UBORA ZA MAWASILIANO NA UHUSIANO KWA UMMA ZA PRST 2024

๐Ÿ“ŒShirika labeba tuzo 4 kati ya 12 zilizoandaliwa. ๐Ÿ“ŒMawasiliano ya Kimkakati na Ubunifu vyatajwa kati ya sababu za Ushindi huo. Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limeendelea kung’ara baada ya kushinda jumla ya tuzo 4 kati ya 12  zilizotolewa na Chama cha Maafisa Uhusiano na Mawasiliano Tanzania(PRST)kwa mwaka 2024. Tuzo hizo zilizotolewa 29, Machi 2025 jijini […]

KITAIFA
March 30, 2025
72 views 48 secs 0

TANESCO YASHINDA TENA TUZO ZA UBORA HUDUMA KWA WATEJA ZA CICM

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA ๐Ÿ“ŒUrahisi wa upatikanaji huduma kwa njia za kidigitali watajwa moja ya kigezo cha kushinda tuzo hiyo ๐Ÿ“ŒMD Gissima aibuka kidedea kwa Kusimamia Maboresho yenye tija huduma kwa wateja Sekta ya Umma. Shirika la umeme Tanzania TANESCO kwa mara nyingine tena limeshinda tuzo ya the ”Most improved Organization” eneo la huduma kwa […]

KITAIFA
March 29, 2025
48 views 2 mins 0

TANESCO YAANZA KAMPENI YA KUELIMISHA ELIMU YA USALAMA KWENYE MATUMIZI YA UMEME MIKOA YA KANDA YA ZIWA

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA ๐Ÿ“ŒKampeni inalenga kuelimisha watoto kuzingatia usalama kwanza watumiapo umeme. ๐Ÿ“ŒItasaidia Kupunguza athari na ajali zitokanazo na majanga ya umeme kwenye Mikoa hiyo. Shirika la Umeme Tanzania  (TANESCO) Machi 27 limeanza kampeni maalumu ya kuelimisha juu ya kuzingatia usalama kwanza kwenye matumizi ya Umeme kwa Makundi ya watoto katika shule mbalimbali za […]

KITAIFA
March 12, 2025
75 views 3 mins 0

KAPINGA AZINDUA NAMBA YA  BURE YA HUDUMA KWA WATEJA WA TANESCO

*๐Ÿ“ŒAwapongeza TANESCO kutekeleza agizo la Mhe. Dkt. Biteko kuwataka kuanzisha namba ya huduma kwa wateja bure* *๐Ÿ“ŒAsema namba hii ya 180 ya bure kwa wateja kuimarisha huduma kwa wateja na kutatua changamoto zao* *๐Ÿ“ŒAwaagiza Mameneja wa Mikoa na wilaya wa TANESCO kuwasimamia watoa huduma* *๐Ÿ“ŒAwaasa watanzania kutumia namba hiyo kwa malengo yaliyokusudiwa na si vinginevyo* […]

KITAIFA
March 12, 2025
52 views 4 mins 0

MHE. MRAMBA: BIASHARA YA KUUZIANA UMEME KUINUFAISHA TANZANIA

๐Ÿ“ŒAfafanua kuuuza na kununua umeme ni jambo la kawaida kwa nchi ๐Ÿ“ŒAsisitiza kununua umeme kwa Mikoa ya Kaskazini kunamanufaa kwa Mikoa husika ๐Ÿ“ŒAsema kukamilika kwa Mradi wa TAZA kutainufaisha Tanzania na biashara ya umeme Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati Mhandisi Felchesmi Mramba ametoa Ufafanuzi zaidi kuhusu hatua ya Serikali kununua Umeme nchini Ethiopitia kupitia […]

KITAIFA
March 07, 2025
68 views 2 mins 0

KONGAMANO LA 11 LA PETROLI KUONGEZA FURSA ZA KUZALISHA UMEME KWA VYANZO MSETO NCHINI

*Na Charles Kombe, Dar es Salaam* Shirika la Umeme Tanzania, TANESCO, linategemea kuongeza fursa ya kuzalisha umeme kupitia vyanzo mseto kupitia Kongamano la 11 la Petroli la Afrika Mashariki linaloendelea katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere (JNICC). Hayo yamebainishwa Machi 4 na Meneja Utafiti TANESCO Mha. Samwel Kessy wakati akieleza juu ya […]

KITAIFA
March 06, 2025
61 views 10 secs 0

UMEME NI NISHATI NAFUU ZAIDI JIKONI – MHA. GISSIMA

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania, TANESCO, Mhandisi Gissima Nyamo-Hanga amesema umeme ni nishati nafuu zaidi kupikia na kuwahimiza Wanzania kutumia fursa ya uwepo wa umeme katika kila Kijiji na kutumia nishati hii kupikia ambapo watapunguza gharama pamoja na kutunza mazingira. Mha. Gissima ameyasema hayo Machi 4, 2025 katika Kongamano […]

KITAIFA
February 05, 2025
82 views 6 mins 0

UTENDAJI KAZI  KITUO CHA HUDUMA KWA WATEJA TANESCO WAMKWAZA DKT. BITEKO

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA ๐Ÿ“Œ *Amuagiza Mkurugenzi Mtendaji TANESCO kumchukulia hatua mtaalam aliyemfokea mteja* ๐Ÿ“Œ *Ataka Mpango Mahsusi wa Nishati uliosainiwa katika Mkutano wa Mission 300 kupewa kipaumbele* ๐Ÿ“Œ *PURA, REA, EWURA zang’ara tathmini ya utendaji kazi Taasisi chini ya Wizara ya Nishati* Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ameeleza […]