KITAIFA
April 26, 2025
39 views 3 mins 0

MKANDARASI AMUANGUKIA RAIS SAMIA ADAI HAKI YAKE KUTOKA TANROAD

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA MMILIKI wa Kampuni ya Rohama 333, Mhandisi Owden Mwalyambi amemuangukia Rais Samia Suluhu Hassan kumuomba msaada ili aweze kulipwa malipo yake anayodai kufanyia kazi mradi wa serikali mkoani Rukwa bila kulipwa. Mwalyambi ameeleza hayo leo wakati akizungumza na waandishi wa habari katika Ukumbi wa Ngome Social Hall, Wilaya ya Kinondoni Dar […]

KITAIFA
April 22, 2025
35 views 3 mins 0

ULEGA ATOA SIKU 30 KWA MKANDARASI BARABARA YA NSALAGA – IFISI KUWEKWA LAMI

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Waziri wa Ujenzi,  Abdallah Ulega ametoa siku 30 na kumtaka Mkandarasi Kampuni ya CHICO anayetekeleza ujenzi wa upanuzi wa barabara ya Nsalaga – Ifisi (km 29) kwa njia nne, jijini Mbeya kuongeza kasi ya ujenzi wa mradi huo ili uweze kukamilika na kupunguza msongamano wa magari katika jiji hilo. Aidha, Waziri […]