KITAIFA
April 25, 2025
34 views 2 mins 0

RAIS SAMIA AIDHINISHA BILIONI 30 KUKARABATI BARABARA ZILIZOATHIRIWA NA MVUA

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan imepanga kutumia kiasi cha zaidi ya shilingi bilioni 30 kwa ajili ya ukarabati wa barabara muhimu za maeneo mbalimbali nchini zilizoharibiwa na mvua. Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, ametoa taarifa hiyo mkoani Morogoro alikoenda kwa dharura baada ya mvua kubwa zinazoendelea kunyesha kuharibu barabara inayounganisha […]

KITAIFA
November 06, 2024
152 views 3 mins 0

BIL 18 ZIMEHUSISHA MATENGENEZO MIUNDOMBINU YA BRT(FERRY-KIMARA, MAGOMENI -MIROCCO NA FIRE-MSIMBAZI)SIO MRADI WA JANGWANI PEKEE

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGAt ooh Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) Mkoa wa Dar es Salaam inatekeleza mradi wa matengenezo (maintenance) ya miundombinu ya mabasi yaendayo haraka (BRT) awamu ya kwanza chini ya mradi wa OPBRC (Output and Performance-Based Road Contract) uliosainiwa rasmi tarehe 07 Septemba 2018. Mradi huu ni wa muda mrefu (Long term contract) […]

KITAIFA
March 04, 2024
381 views 52 secs 0

MHANDISI BESTA:DUNIA INABADILIKA NA TUNAPOELEKEA RASILIMALI ZINAZIDI KUADIMIKA

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM Taasisi ya wahandisi Tanzania Kwa kushirikiana na bodi ya usajili wa wahandisi Tanzania (ERB) na chama Cha wahandisi washauri Tanzania (ACET) wameadhimisha Leo siku ya Uhandisi Duniani Jijini Dar es salaam Mtendaji mkuu wa Tanroads Mhandisi Mohammed Besta Amesema matukio.kama haya hutunza kumbukumbu ya Yale yanayojili na kupelekea chachu […]

KITAIFA
February 24, 2024
195 views 2 mins 0

BASHUNGWA:MITAMBO YOTE NA WATAALAM WAWE ‘SITE’ NDANI YA MWEZI MMOJA – MLIMBA

Waziri wa  Ujenzi, Innocent Bashungwa ametoa mwezi mmoja kwa Mkandarasi wa Kampuni ya M/s Henan Highway Engineering Group Co. Ltd, inayojenga barabara ya Ifakara-Kihansi (km 124) Sehemu ya kwanza Ifakara-Mbingu (km 62.5) kwa kiwango cha lami kuhakikisha analeta mitambo yote na wataalam eneo la mradi. Waziri Bashungwa ametoa agizo hilo wilayani Mlimba mkoani Morogoro mara […]