KITAIFA
February 08, 2025
98 views 2 mins 0

TAWA YAKABIDHI MADAWATI 295 KWA SHULE ZA MKOA WA SIMIYU

๐Ÿ“ Wanafunzi, Walimu waipongeza Serikali. Na  Mwandishi wetu – Simiyu SERIKALI kupitia Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania – TAWA imekabidhi madawati 295 yenye thamani ya Shillingi Millioni 25.9 Kwa shule za sekondari na msingi Mkoani Simiyu hatua inayolenga kuboresha mazingira ya elimu kwa shule zinazozunguka Pori la Akiba Maswa kama sehemu ya ujirani mwema […]

KITAIFA
January 23, 2025
116 views 2 mins 0

KISHINDO CHA RAIS SAMIA SEKTA YA UTALII CHASIKIKA KILWA

๐Ÿ“ Mataifa mbalimbali yafurika Hifadhi ya Urithi wa Dunia Kilwa Kisiwani Na Beatus Maganja, Kilwa. Kazi kubwa ya kutangaza vivutio vya utalii vya nchi yetu duniani iliyofanywa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan inaendelea kudhihirika na kishindo chake kutikisa katika Hifadhi ya Urithi wa Utamaduni wa Dunia ya […]

KITAIFA
January 17, 2025
113 views 46 secs 0

TAWA YASHIRIKI MKUTANO WA KIMATAIFA WA UTALII NA USAFIRISHAJI

Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) inashiriki mkutano wa kimataifa wa Utalii na Usafirishaji unaofanyika Dubai, Falme za Kiarabu ambao umeanza tarehe 15/01/2025 na unatarajia kumalizika leo tarehe 16/01/2025. Mkutano huo ambao umeandaliwa na Taasisi ya Teknolojia na Utafiti ya barani Asia (ITAR) unahudhuriwa na washiriki kutoka takribani nchi 52 duniani kote Katika Mkutano […]

KITAIFA
January 04, 2025
128 views 3 mins 0

WATAKAOHUSIKA KUDHOOFISHA JITIHADA ZA SERIKALI PORI LA AKIBA KILOMBERO KUSHUGHULIKIWA : Mhe. Dunstan Kyobya

๐Ÿ“ Msako mkali wa “Matapeli” kufanyika Na Beatus Maganja, Kilombero. Mkuu wa Wilaya ya Kilombero Mhe. Wakili Dunstan Kyobya amesema Serikali haitawafumbia macho watu watakaohusika kudhoofisha jitihada za kulinda na kuhifadhi Pori la Akiba Kilomberoย ย  ambalo ni mahsusi Kwa ajili ya kuhifadhi vyanzo vya maji, misitu na wanyamapori hususani upatikanaji wa maji Kwa ajili ya […]

KITAIFA
December 31, 2024
120 views 4 mins 0

ZOEZI LA KULIPA FIDIA WANANCHI NGOMBO LINAKWENDA VIZURI : DC MALINYI

๐Ÿ“ Waliohama kupokelewa vijiji jirani, waipongeza Serikali Na Beatus Maganja, Malinyi. Mkuu wa Wilaya ya Malinyi Mhe. Sebastian Waryuba amesema zoezi la kuwalipa fidia wananchi wa Kijiji cha Ngombo kilichopo ndani ya Pori la Akiba Kilombero Mkoani Morogoro linaendelea vizuri ambapo asilimia 93 ya wananchi wote tayari wamekwishalipwa fidia zao kwa ajili ya kupisha shughuli […]

BURUDANI
December 26, 2024
142 views 11 secs 0

ZAIDI YA WATALII 700 WAFURIKA TABORA ZOO KUJIONE MAAJABU YA BUSTANI HIYO

Na Beatus Maganja Jumla ya watalii 770 kutoka viunga vya Mkoa wa Tabora na mikoa ya karibu wametembelea Bustani ya wanyamapori hai almaarufu TABORA ZOO Desemba 25, 2024 kujionea maajabu yaliyopo ndani ya bustani hiyo ikiwemo Nyumbu rafiki wa binadamu mwenye sifa za kipekee za kuambatana na watalii akiwaongoza katika vivutio mbalimbali vilivyopo ndani ya […]

KITAIFA
December 23, 2024
117 views 53 secs 0

TASWIRA ZA WANYAMAPORI ZAVUTIA WAGENI ENEO LA CLOCK TOWER, ARUSHA

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Wageni wengi wametembelea eneo la Mnara wa Saa ” *Clock Tower* ”ย  kwa ajili ya kujionea taswira mbalimbali za wanyamapori pamoja na kupata elimu kuhusu umuhimu wa kijiografia wa eneo hilo. Uwepo wa Taswira za Wanyamapori ambazo zimewekwa na *TAWA* katika eneo hilo limenogesha zaidi kwa kuwavutia wageni wengi wazawa na […]

KITAIFA
December 23, 2024
121 views 53 secs 0

TASWIRA ZA WANYAMAPORI ZAVUTIA WAGENI ENEO LA CLOCK TOWER, ARUSHA

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Wageni wengi wametembelea eneo la Mnara wa Saa ” *Clock Tower* ”ย  kwa ajili ya kujionea taswira mbalimbali za wanyamapori pamoja na kupata elimu kuhusu umuhimu wa kijiografia wa eneo hilo. Uwepo wa Taswira za Wanyamapori ambazo zimewekwa na *TAWA* katika eneo hilo limenogesha zaidi kwa kuwavutia wageni wengi wazawa na […]

KITAIFA
December 15, 2024
111 views 3 mins 0

HALMASHAURI YA (W) YA MLELE YAPOKEA GAWIO LA TZS MILLIONI 210 KUTOKANA NA SHUGHULI ZA UWINDAJI WA KITALII

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA KATAVI Wananchi wafurahia uwepo wa TAWA Halmashauri ya Wilaya ya Mlele imepokea gawio la Shillingi Millioni 210 kutokana na shughuli za uwindaji wa kitalii zinazosimamiwa na Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania – TAWA wilayani humo. Gawio hilo ni asilimia 25 ya fedha zitokanazo na faida inayopatikana kutokana na shughuli za […]

KITAIFA
December 13, 2024
159 views 3 mins 0

MILLIONI 200 ZA RAIS SAMIA ZALETA MAPINDUZI YA MIUNDOMBINU YA UTALII TABORA ZOO

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Mapato na Idadi ya watalii vyaongezeka Tabora. Zaidi ya TZS Millioni 220 zilizotolewa na Serikali ya awamu ya Sita inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) Kwa ajili ya maboresho ya miundombinu ya utalii ndani ya […]