BIASHARA
April 18, 2025
41 views 3 mins 0

ZOEZI LA UHAKIKI MALIPO YA MBOLEA ZA RUZUKU KWA WAKULIMA WA TUMBAKU TABORA LARIZISHA

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Tabora, 17 Aprili 2025 Katika kuhakikisha wakulima wa tumbaku wanapata ruzuku za mbolea Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA), Bw. Joel Laurent, amefanya ziara ya kikazi katika vituo viwili vinavyo hakiki taarifa hizo mkoani Tabora kujionea maendeleo ya zoezi hilo na kuhakikisha linakamilika kwa wakati. Baada ya […]

BIASHARA
February 06, 2025
79 views 4 mins 0

TFRA Yaendelea Kukuza Sekta ya Mbolea kwa Ushirikiano na Wazalishaji Wadogo

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA DAR ES SALAAM – Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA), Joel Laurent, ameongoza kikao muhimu na wazalishaji wadogo na wa kati wa mbolea nchini ili kujadili suala la utekelezaji wa takwa la sheria ya Mazingira la kufanya tathmini ya mazingira. Katika kikao hicho kilicholihusisha Baraza la Taifa […]

BIASHARA
January 21, 2025
106 views 2 mins 0

TFRA YATOA ELIMU YA MBOLEA KWA VITENDO KUPITIA MASHAMBA DARASA MIKOA YA LINDI NA MTWARA

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA) kwa kushirikiana na kampuni za mbolea za ETG na Itracom zimefanikiwa kusambaza tani nne za mbolea kwa ajili ya kutoa elimu kwa vitendo kupitia mashamba ya mfano yaliyoanzishwa katika Halmashauri zote za mikoa ya Lindi na Mtwara. Elimu hiyo inalenga kuwahamasisha wakulima kutumia mbolea […]

BIASHARA
September 30, 2024
177 views 3 mins 0

TFRA YAWAVUTIA WAWEKEZAJI SEKTA YA MBOLEA KUTOKA OMAN

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA MUSCAT-Mamlaka ya Udhibiti wa Mbolea Tanzania (TFRA) ni miongoni mwa taasisi zilizoshiriki katika Kongamano la Kibiashara baina ya Tanzania na Oman lenye lengo la kuimarisha ushirikiano wa kibiashara na uchumi baina ya nchi hizo mbili. Kongamano hilo lililohusisha takribani watanzania 300 limefanyika leo Septemba 29, 2024 katika Hoteli ya Sheraton iliyopo […]