KITAIFA
March 03, 2025
59 views 2 secs 0

WATUMISHI WANAOPANDA MADALAJA KUJIEPUSHA NA RUSHWA

Na Madina Mohammed DODOMA WAMACHINGA Katika mwaka wa fedha 2024/25 serikali inatarajia kupandisha vyeo watumishi  laki mbili kumi na tisa na arobaini na mbili (219042)na kubadilisha kada watumishi elfu sita Mia tisa na kumi (6910). Haya yameelezwa  leo 3 march jijini Dodoma, waziri wa nchi ,ofisi ya Rais Utumishi na Utawala bora George  Simbachawene  katika […]