KITAIFA
November 18, 2024
160 views 2 mins 0

WAZIRI  SILAA AWEKA BAYANA MAKAKATI YA KUWEZESHA IDARA YAKE YA HABARI , MAWASILIANO NA TEKNOLOJIA KUPITIA USHIRIKIANO NA WANAHABARI

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Jerry Silaa, ameweka wazi mikakati yake ya kuboresha sekta ya habari kupitia ushirikiano wa karibu na wanahabari. Akizungumza leo jijini Dar es Salaam katika mkutano wa wadau wa sekta ya habari kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Uchaguzi Mkuu wa 2025, Waziri […]

KITAIFA
October 09, 2024
132 views 3 mins 0

TANZANIA KUINUA MIFUMO YA KIDIGITALI KUWA ENDELEVU,YAJIIMALISHA KATIKA NCHI ZOTE

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA Waziri wa habari mawasiliano na Teknolojia ya habari Mhe Jerry Silaa amefungua kikao kazi Cha siku tatu ambacho kimejikita kufanya mapitio Katika maeneo 11 ambayo nchi za Afrika zilijiwekea awali Katika mkutano wa Dunia wa jumuiya ya habari WSIS MHE waziri amefungua kikao hicho Leo Tarehe 09 Oktoba […]