BIASHARA, KITAIFA
May 02, 2024
335 views 37 secs 0

TAIFA LIMEJITOSHELEZA KWA CHAKULA KWA ASILIMIA 124

JIJINI DODOMA Waziri wa Kilimo, Mhe. Hussein Bashe (Mb) akiwasilisha Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Fedha ya Wizara ya Kilimo kwa Mwaka 2024/2025 amesema kuwa uzalishaji wa chakula kwa msimu wa kilimo wa 2022/2023 ulitosheleza mahitaji ya chakula ya tani 16,390,404 kwa mwaka 2023/2024 na kuwepo kwa ziada ya tani 4,011,611. Amesema […]

BIASHARA
April 30, 2024
238 views 2 mins 0

BASHE: RAIS SAMIA AMEFANYA MAGEUZI MAKUBWA KWENYE SEKTA YA UMWAGILIAJI

Na Mwandishi Wetu Katika kuhakikisha sekta ya kilimo inazidi kukua, serikali ya awamu ya sita chini ya uongozi wa Rais Samia imeongeza bajeti ya sekta ya umwagiliaji kutoka shilingi bilioni 46.5 mwaka 2021/22 hadi shilingi bilioni 373.5 kwa mwaka 2023/2024 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya umwagiliaji ili kuongeza tija kwa wakulima. Waziri […]