KITAIFA
April 23, 2025
33 views 3 mins 0

SEKTA YA MADINI YAFIKIA MCHANGO WA ASILIMIA 10.1 KATIKA PATO LA TAIFA

▪️ *Rais Samia apongezwa kwa mageuzi makubwa ya sekta ya madini* ▪️**Wizara yafikia lengo kabla ya mwaka 2025** ▪️ *Sekta  Yatajwa Chanzo Kikuu kuingiza Fedha za Kigeni* ▪️ *Waziri Mavunde Awashukuru Watendaji, Watumishi na Wadau wa Sekta ya Madini* 📍 *Dodoma* Wizara ya Madini imetangaza kuwa Sekta ya Madini nchini Tanzania imepiga hatua kubwa ya […]

KITAIFA
March 27, 2025
44 views 2 mins 0

GST YASAINI HATI YA MAKUBALIANO (MoU) NA TAASISI YA JIOSAYANSI NA RASILIMALI MADINI YA KOREA KUSINI KIGAM

• _*Watanzania kujengewa uwezo kwenye kada ya Jiosayansi na Utafiti wa Madini*_ 📍 *Seoul, Korea Kusini.* Wizara ya Madini kupitia Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini (GST) na Taasisi ya Jiosayansi na Rasilimali Madini ya Korea Kusini (KIGAM) zimetia saini Hati ya Makubaliano (MoU) ya kufanya tafiti za pamoja za Jiosayansi. Hafla hiyo ya […]

KITAIFA
March 26, 2025
69 views 3 mins 0

UONGEZAJI THAMANI MADINI NI MKAKATI WA SERIKALI KUKUZA MCHANGO WA SEKTA ~ SAMAMBA

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA • _*TGC yasaini Hati ya Makubaliano (MoU) na Kampuni ya Sunset Gem ya Thailand kuhaulisha teknolojia mpya*_ 📍 *Dodoma* Katibu Mkuu Wizara ya Madini Mhandisi Yahya Samamba amesema kuwa, Serikali kupitia Wizara ya Madini imedhamiria kukuza sekta ya madini kwa kuhakikisha madini yanachakatwa na kuongezwa thamani hapa nchini badala ya kusafirishwa […]

KITAIFA
March 26, 2025
54 views 3 mins 0

USHIRIKIANO WA TANZANIA NA KOREA KULETA MAGEUZI SEKTA YA MADINI NCHINI

📍 *Seoul, Korea Kusini* Naibu Waziri wa Madini Dkt. Steven Kiruswa amesema kuwa kutokana na kuongezeka kwa mahitaji na matumizi ya Madini Muhimu duniani, Tanzania ina dhamira ya dhati ya kuendeleza Sekta ya Madini ikiwa ni pamoja na Madini Mkakati hapa nchini kwa kuimarisha ushirikiano na Nchi ya Korea ya Kusini kwa lengo la kuleta […]

KITAIFA
March 18, 2025
52 views 2 mins 0

MBIBO AWASISITIZA WATUMISHI MADINI KUZINGATIA UADILIFU, MAADILI KUTEKELEZA MAJUKUMU

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA • _*Awahimiza kuzingatia afya zao kuepuka magonjwa, changamoto ya afya ya akili*_ 📍 *Dodoma* Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Madini Msafiri Mbibo amewataka watendaji na watumishi wa Wizara ya Madini kuzingatia uadilifu na maadali katika utekelezaji wa majukumu yao ya kila siku ili kuhakikisha Sekta ya Madini inakua na kuendelea kuongeza […]

KITAIFA
March 06, 2025
55 views 3 mins 0

TANZANIA NA CANADA KUSHIRIKIANA KWENYE KUKUZA UJUZI WA WADAU SEKTA YA MADINI

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA ▪️Watanzania kujengewa uwezo kwenye teknolojia ya uchimbaji na uchenjuaji madini ▪️Vyuo vya VETA kutumika kutoa mafunzo maalum ▪️Canada yaipongeza Tanzania kwa kukuza sekta ya madini ▪️Mpango wa Uwezeshwaji wa Vijana na wakina mama waungwa mkono 𝐓𝐨𝐫𝐨𝐧𝐭𝐨,𝐂𝐚𝐧𝐚𝐝𝐚 Waziri wa Maendeleo ya Kimataifa wa Canada *Mh. Ahmed Hussein* na Waziri wa Madini wa […]

BIASHARA
March 04, 2025
70 views 6 mins 0

SERIKALI YATOA LESENI KUBWA YA UCHIMBAJI MADINI YA KINYWE KWA EcoGraph

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA •  _*Mradi wa Epanko Graphite Kuinufaisha Tanzania Kibiashara, Kiuchumi*_ •  _*Kuchangia Zaidi ya Shilingi Trilioni 5 kwenye Pato la Taifa*_ •  _*Tanzania kuwa Kiungo Muhimu Katika Sekta ya Nishati Safi Duniani*_ Tanzania imeandika historia mpya katika Sekta ya Madini baada ya Machi 3, 2025, Serikali kutoa Leseni Kubwa ya Uchimbaji  (Special […]

KITAIFA
February 26, 2025
119 views 2 mins 0

KAMPUNI YA PLANET ONE GROUP YATAFUTA FURSA ZA UWEKEZAJI SEKTA YA MADINI TANZANIA

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA *Dodoma* Imeelezwa kwamba Tanzania ni moja ya nchi katika Bara la Afrika iliyobarikiwa na wingi wa aina mbalimbali za rasilimali madini ambazo zimekuwa kivutio kwa kampuni za uwekezaji kutafuta fursa katika mnyororo wa thamani madini. Hayo yameelezwa leo Februari 26, 2025 na mjiolojia Ambreesh Jha ambaye ni  Mjiolojia Mkuu wa Idara […]

KITAIFA
February 21, 2025
88 views 5 mins 0

DKT. MPANGO AITAJA STAMICO MFANO BORA UTEKELEZAJI MATUMIZI NISHATI  SAFI YA KUPIKIA

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Mageuzi Makubwa ya STAMICO Yapelekea Kujitegemea Kiuchumi*_ 📍  *Mbeya,* Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango, amepongeza Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) kwa kuwa mfano bora wa utekelezaji wa ajenda ya matumizi ya nishati safi na salama ya kupikia nchini. Amesema kuwa STAMICO imeonyesha mwelekeo […]

BIASHARA
February 16, 2025
85 views 4 mins 0

VIWANDA VINNE VYA UONGEZAJI THAMANI MADINI KUJENGWA MKOANI DODOMA-WAZIRI MAVUNDE

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA ▪️Akagua maendeleo ya ujenzi wa kiwanda cha kuchenjua Madini ya Shaba* ▪️Dodoma inaongoza kwa uwepo wa aina nyingi za madini nchini* ▪️Atoa rai kwa Mikoa kutenga meneo maalum ya viwanda vya kuongeza thamani *📍 Dodoma* Waziri wa Madini *Mhe. Anthony Mavunde* amesema, ujenzi wa Viwanda vinne vya Uchenjuaji Madini ya Shaba […]