BIASHARA
February 11, 2025
97 views 4 mins 0

KITUO CHA MFANO KATENTE CHAONGEZA MAKUSANYO MBOGWE

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA *Afisa Madini atoa Wito wachimbaji kuvitumia* *Abainisha fursa za Uwekezaji Sekta ya Uchimbaji mdogo Mbogwe* *Mbogwe* Uwepo wa Kituo cha Mfano cha Katente katika Mkoa wa Kimadini Mbogwe umeleta mapinduzi katika  ukusanyaji wa Maduhuli ya Serikali  kufuatia  Wachimbaji Wadogo wa Madini  kukitumia  kituo hicho kuchenjua mawe yao jambo ambalo limewezesha ukusanyaji […]

BIASHARA
January 21, 2025
119 views 3 mins 0

WIZARA YA MADINI YAKUSANYA BILIONI 521 NUSU YA KWANZA YA MWAKA WA FEDHA 2024/25

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA • *_Waziri Mavunde asisitiza lengo la trilioni 1 kufikiwa_* • *_STAMICO yapiga hatua kubwa kuelekea malengo yake_* • *_Asilimia 18 ya nchi kufanyiwa utafiti wa kina mwaka hivi karibu_* 📍  *Dodoma* Wizara ya Madini imefanikiwa kukusanya shilingi bilioni 521 katika kipindi cha Julai 1, 2024, hadi Desemba 31, 2024. Hii ni […]

KITAIFA
July 04, 2024
185 views 2 mins 0

GST YA POKEA TAARIFA YA MAENDELEO YA UTAFITI KUTOKA BARRICK

Na Mwandishi wetu WAMACHINGA Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania (GST) imepokea taarifa ya Utafiti wa Madini ya Dhahabu unaofanywa na Kampuni ya Twiga Corporation Limited inayomilikiwa kwa ubia kati ya Serikali kwa asilimia 16 na Kampuni ya Barrick Tanzania Limited kwa asilimia 84 ikiwa ni utaratibu kwa Serikali kupokea taarifa za maendeleo […]