BILIONI 60 KULIPA FIDIA WANANCHI WALIOPITIWA MRADI WA RUHUDJI NA RUMAKALl
*๐Serikali ya Awamu ya Sita yapongezwa kupelekea Umeme Maeneo Korofi mwambao wa ziwa Nyasa* *๐ Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini yaipongeza REA na TANESCO* *๐ Zaidi ya asilimia 98 ya Vijiji vyote Njombe vina umeme* *๐NJOMBE* Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imeishauri Serikali kutafuta fedha za kuwalipa fidia wananchi […]