SERIKALI KUJENGA MTANDAO MKUBWA WA MABOMBA YA GESI-DKT.BITEKO
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA ๐ *Asema lengo ni kurahisisha huduma kwa Wananchi* ๐ *Afanya mazungumzo na kampuni Rashal Energies inayojenga Bomba la Gesi Kisemvule-Mbagala* ๐ *Aikaribisha kampuni ya CNOOC ya China kushiriki Duru a Tano Vitalu vya Mafuta na Gesi Asilia* Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amekutana na kufanya […]