WAWEKEZAJI WAKARIBISHWA KAGERA
Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Dkt. Biteko asisitiza teknolojia itumike uchakataji zao la ndizi* Dkt. Biteko ahimiza uwekezaji viwanda vya kuongeza thamani mazao ya uvuvi na ufugaji* Kagera yaongoza kwa uzalishaji zao la ndizi nchini kwa asilimia 60* Mradi wa Mashamba Makubwa ya Kahawa Kagera kunufaisha watu 10,000* Wawekezaji kutoka ndani na nje ya nchi wamekaribishwa […]