BURUDANI, MICHEZO
April 26, 2025
22 views 53 secs 0

MAAFISA WA UTAMADUNI NA MICHEZO WASHIRIKI BONANZA

Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo na Msemaji Mkuu wa Serikali Ndg. Gerson Msigwa, Watendaji wa Wizara hiyo pamoja na Maafisa Utamaduni na Maafisa Maendeleo ya Michezo Tanzania, wameshiriki bonanza katika Uwanja wa Tanganyika Packers, Kawe jijini Dar es Salaam leo Aprili 26, 2025. Bonanza hilo limehusisha michezo mbalimbali ikiwemo kufukuza […]

KITAIFA
April 22, 2025
43 views 5 mins 0

TULINDE, TUENZI UTAMADUNI KWA MANUFAA YA VIZAZI VYETU- MAJALIWA

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA ▪️Asema tusikumbatie tamaduni zinazokwenda kinyume na maadili na ustaarabu ▪️Prof. Kabudi asema sarakasi ni mchezo unaongoza kuliingizia Taifa fedha za kigeni WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema Watanzania wana wajibu wa pamoja wa kuhakikisha urithi wa utamaduni wa Taifa unalindwa, unaenziwa na kuendelezwa kwa manufaa ya kizazi cha sasa na kijacho. Amesema […]

MICHEZO
April 22, 2025
29 views 26 secs 0

MAGEUZI MAKUBWA YA SANAA KWA KIPINDI KIFUPI

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Hamis Mwinjuma ametoa wito kwa viongozi na jamii kuunga mkono safari ya mageuzi kwenye kazi za sanaa kwani inaleta matumaini makubwa. Mwinjuma ameeleza hayo wakati wa Kikao kazi cha 15 cha Maafisa Utamaduni na Maafisa Maendeleo ya Michezo Tanzania, Aprili 22, 2025 […]