KITAIFA
May 04, 2025
10 views 4 mins 0

ZIMAMOTO YAUNGANA NA MATAIFA MENGINE KUADHIMISHA SIKU YA WAZIMAMOTO DUNIANI

Na Mwandishi wetu – Dar es Salaam Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Tanzania Bara, limeungana na Wazimamoto  wote Duniani katika kuadhimisha Siku ya Wazimamoto Duniani ambayo hufanyika Mei 4, kila mwaka. Akizungumza na Waandishi wa habari Mei 04, 2025 jijini Dar es Salaam Naibu Kamishna wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji (DCF) Puyo Nzalayaimisi, ambaye […]