BIASHARA
April 27, 2024
228 views 47 secs 0

AFANDE SELE:TUMETOKA KWENYE KILIMO CHA KULIALIA TUPO KWENYE KILIMO BIASHARA

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA TANGA Msanii mkongwe nchini, Afande Sele akiwa Kilindi mkoani Tanga kwenye shamba la miche ameipongeza wizara ya kilimo chini ya Mhe. Hussein Bashe kwa maendeleo makubwa kwenye sekta ya kilimo nchini na kwa kujitoa kimasomaso kuwafikia wakulima moja kwa moja Afande Sele amesema kuwa ndani ya miaka mitatu ya Rais Samia, […]

BIASHARA
April 27, 2024
296 views 49 secs 0

WIZARA YA KILIMO YAPONGEZWA KWA UHAMASISHAJI WA MATUMIZI YA MBEGU BORA

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA MOROGORO Mkulima mmoja kutoka Wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro anayefahamika kwa jina la Raha Aloyce ameipongeza na kuishukuru wizara ya Kilimo kwa jitihada endelevu katika kuhamasisha wakulima kutumia Mbegu na miche bora ili kuweza kunufaika zaidi na shughuli za kilimo wanazofanya Katika maelezo yake, Raha ameeleza kuwa matumizi ya mbegu na […]

BIASHARA
April 25, 2024
289 views 29 secs 0

ZAIDI YA WAKULIMA 13,158 WANUFAIKA NA HUDUMA ZA UGANI

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Bajeti ya Wizara ya Kilimo kwa mwaka 2023/2024 imenunua leseni za kudumu 143 ili kuwezesha vifaa vya kupima afya ya udongo (soil scanner) kufanya kazi iliyokusudiwa. Aidha, hadi kufikia tarehe 24 Aprili, 2024 jumla ya sampuli 14449 katika mashamba yenye ukubwa wa ekari […]

BIASHARA
April 25, 2024
362 views 44 secs 0

HUDUMA ZA UGANI ZAENDELEA KUIMARIKA,VISHKWAMBI 4446 VYANUNULIWA

Wizara ya Kilimo kupitia Bajeti yake ya mwaka 2023/2024 imenunua Vishkwambi 4446, kati ya hivyo vishkwambi 946 vimesambazwa na usambazaji unaendelea kwa ajili ya usajili wa wakulima, kukusanya taarifa, kuchukua alama ya nukta katika mashamba ya wakulima na utoaji huduma za ugani kwa njia ya kidijiti na kuwawezesha maafisa ugani katika ngazi ya kata kukusanya […]

BIASHARA
April 25, 2024
356 views 48 secs 0

MAAFISA UGANI 1000 KUTOKA MIKOA 7 MBALIMBALI WAPATA VISANDUKU VYA UGANI

MAAFISA UGKupitia Bajeti ya kilimo kwa Mwaka wa Fedha 2023/2024, Wizara ya Kilimo imefanikisha  ununuzi na usambazaji wa visanduku vya ugani 1000 kwa maafisa ugani Kilimo 1000 katika mikoa ya Mbeya, Songwe, Njombe, Iringa, Ruvuma, Rukwa na Katavi, sawa na asilimia 25 ya lengo. Kwa upande mwingine, tayari magari 46 na Pikipiki 550 kwaajili ya […]

BIASHARA
April 24, 2024
236 views 34 secs 0

PROF IKINGURA AONGOZA KIKAO CHA 18 BODI YA GST

Mwenyekiti wa Bodi ya Taasisi ya Jiolojia ya Utafiti wa Madini Tanzania (GST) Prof. Justinian Ikingura amekiongoza Kikao cha kawaida cha 18 cha Bodi hiyo kwa ajili ya kupitia taarifa ya utekelezaji wa Taasisi hiyo kwa kipindi cha Robo ya Tatu ya Mwaka wa  Fedha 2023/24. Bodi hiyo imefanya Kikao hicho leo Aprili 24, 2024 […]

BIASHARA
April 24, 2024
207 views 3 mins 0

WAZIRI MAVUNDE AWATAKA WATUMISHI GST KUCHAPA KAZI

GST kujenga Maabara ya Kisasa jijini Dodoma* GST ni Moyo wa Sekta ya Madini Kufanya Utafiti wa kina kufikia asilimia 50 Na Madina Mohammed DODOMA WAMACHINGA Waziri wa Madini Mhe.Anthony Mavunde amewataka Watumishi wa Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa Madini Tanzania (GST) kuchapa kazi kwa bidii  ili kutimiza Vision 2030 ambayo ndana yake kubwa […]

BIASHARA
April 24, 2024
266 views 3 mins 0

WAZIRI MAVUNDE AFUTA MAOMBI YA LESENI ZA MADINI 227

Awataka wadau kuzingatia matakwa ya Sheria wamiliki wa akaunti za uombaji na usimamizi wa leseni kwa njia ya mtandao ambao sio waaminifiu kusitishiwa akaunti zao Zoezi la ufutaji wa maombi na Leseni kuwa endelevu Amtaka kila mmoja kufuatilia hadhi ya maombi au Leseni zake Waziri wa Madini, *Mheshimiwa Anthony Mavunde* amebainisha kwamba Serikali kupitia Tume […]

BIASHARA
April 23, 2024
242 views 3 mins 0

WAWEKEZAJI WAHAMASISHWA KUWEKEZA TANGA

*Mkoa wa Tanga umebarikiwa kuwa na aina mbalimbali za madini* *Wafanya biashara waaswa kuzingatia Sheria za Madini* Wito umetolewa kwa Wawekezaji wa ndani na nje ya nchi kuwekeza katika fursa zilizopo kwenye Sekta ya Madini mkoani Tanga kutokana na uwepo wa aina mbalimbali za rasilimali madini mkoani humo. Wito huo umetolewa na Afisa Madini Mkazi […]

BIASHARA
April 19, 2024
420 views 13 secs 0

SKECHERS INAWATAKA WATANZANIA KUTUMIA VIATU MAALUM KUTIBU MAGONJWA YA MIGUU

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM Kampuni ya viatu ya Skechers kwa kushirikiana na Madaktari bingwa wa magonjwa yasio ya kuambukiza hususani miguu imewataka Watanzania kutumia  viatu maalumu ambavyo vimetengenezwa kwa teknolojia  ambayo itaasaidia kutibu magonjwa mbalimbali ya miguu Akizungza leo Jijini Dar es salaam na Waandishi wa habari Daktari bingwa wa magonjwa yasio ya […]