BIASHARA
September 12, 2024
257 views 4 mins 0

WAZIRI JAFO:WIZI WA KUCHEZEA VIPIMO NI KOSA KISHERIA

Na Mwandishi Wetu WMA MWANZA Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt. Selemani Jafo amehimiza wananchi jijini Mwanza kuzingatia matumizi sahihi ya vipimo kila mara wanapofanya manunuzi na kuuza bidhaa mbalimbali. Aliyasema hayo Septemba 11, 2024 wakati akifungua rasmi Maonesho ya 19 ya Biashara ya Afrika Mashariki yanayofanyika katika Uwanja wa Furahisha jijini Mwanza. “Wizi wa […]

BIASHARA
September 11, 2024
324 views 2 mins 0

MIGOGORO YA WAMACHINGA NA SERIKALI YAFIKIA KIKOMO

Na Madina Mohammed DAR ES SALAAM WAMACHINGA Viongozi wa Shirikisho la  Umoja wa wafanya biashara ndogondogo (Machinga)kutoka katika Mikoa  20 ya Tanzania bara wamekutana leo 11Septemba mwaka huu  jijini Dar es Salaam ambapo wamekuwa na maazimio mbalimbali ya kuimarisha umoja wa shirikisho hilo. Akizungumza katika mkutano huo Uliofanyika JM Hotel Mwenyekiti wa Muda wa shirikisho […]

BIASHARA
September 11, 2024
308 views 2 mins 0

WMA YATOA MSAADA WA VIFAA VYA TEHAMA KWA JESHI LA POLISI

Na Mahamudu Jamal WMA Wakala wa Vipimo (WMA) imekabidhi msaada wa vifaa vya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) kwa Jeshi la Polisi Mkoa wa kipolisi Ilala, Septemba 10, 2024 katika hafla iliyofanyika Makao Makuu ya Jeshi hilo Jijini Dar es Salaam. Akiongoza makabidhiano hayo kwa niaba ya Afisa Mtendaji Mkuu wa WMA, Meneja wa […]

BIASHARA
September 11, 2024
366 views 3 mins 0

PUMA ENERGY YAMUUNGA MKONO RAIS SAMIA NISHATI SAFI YA KUPIKIA

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA -DAR ES SALAAM KATIKA kuunga mkono jitihada za Serikali ya Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwenye kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia, Kampuni ya Puma Energy Tanzania kupitia PumaGas imezindua kampeni ya Bei kama Mkaa tu faida kibao yenye lengo la kuwahimiza wananchi kupika kwa nshati ya gesi. Uzinduzi wa […]

BIASHARA
September 04, 2024
326 views 2 mins 0

WMA YAHIMIZA MATUMIZI YA MIZANI ILIYOHAKIKIWA KWA WAFANYABIASHARA WA GESI

Na Pendo Magambo – WMA, Dar es Salaam Wakala wa Vipimo Tanzania (WMA) imewataka wafanyabiashara wa gesi kutumia mizani iliyohakikiwa na WMA ili kujiridhisha na usahihi wa uzito wa mitungi ya gesi kabla ya kuiuza kwa wateja. Wito huo ulitolewa Septemba 3, 2024 jijini Dar es Salaam na Afisa Vipimo Yahya Tunda kutoka WMA Mkoa […]

BIASHARA
August 29, 2024
272 views 3 mins 0

WITO WATOLEWA WAKULIMA KUCHANGAMKIA FURSA ZINAZOTOLEWA KUPITIA WIZARA YA KILIMO

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA  Elimu ya Matumizi sahihi ya mbolea na usajili wa wakulima vyawavutia wakulima Katavi Wakulima nchini wametakiwa kuzingatia kanuni bora za kilimo ikiwa ni pamoja na kuzingatia matumizi sahihi ya mbolea kwenye shughuli zao za kilimo. Aidha, wakulima wametakiwa kuacha kilimo cha mazoea na kufuata kanuni bora za kilimo ikiwa ni […]

BIASHARA
August 27, 2024
126 views 3 mins 0

TUGHE YATOA RAI KWA WAAJIRI KUWAPA WAFANYAKAZI HAKI YA KUJIUNGA NA VYAMA VYA WAFANYAKAZI

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA ——————————————Chama cha Wafanyakazi wa Serikali na Afya Tanzania (TUGHE) kimetoa rai kwa Waajiri nchini kuwapa wafanyakazi wao haki ya kujiunga na Vyama vya Wafanyakazi ili kuleta tija katika maeneo ya kazi. Akitoa salamu za TUGHE katika ufunguzi wa Semina ya Waajiri na Viongozi wa Matawi ya TUGHE iliyoanza jana Jumatatu Tarehe […]

BIASHARA
August 22, 2024
231 views 3 mins 0

BENKI YA BIASHARA TANZANIA (TCB) YASISITIZA KUENDELEA KUWA MDAU MKUBWA WA MAENDELEO VISIWANI ZANZIBAR

NA Mwandishi Wetu WAMACHINGA Benki ya Biashara Tanzania (TCB) imeungana na wananchi wa kizimkazi Zanzibar kwenye siku ya utalii kusherehekea ufahari wa utamaduni wa Kitanzania, vivutio vya utalii, umoja na mshikamano katika tamasha la Kizimkazi linaloendelea kufanyika visiwani Zanzibar. Benki imeendelea kusisitiza dhamira yake ya kushirikiana na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar katika vipaumbele vyake katika […]

BIASHARA
August 22, 2024
279 views 4 mins 0

WATAALAMU KITENGO CHA BANDARI WMA WAAHIDI WELEDI ZAIDI KAZINI

Na Pendo Magambo – WMA* Wafanyakazi wa Wakala wa Vipimo (WMA) Kitengo cha Bandari, wamesema wataendelea kutekeleza majukumu yao kwa weledi ili kufikia azma ya Serikali ya Awamu ya Sita ya kuwa na Tanzania ya Viwanda. Akizungumza kwa niaba ya wafanyakazi, Meneja anayeongoza Kitengo hicho, Alfred Shungu ameyasema hayo ofisini kwake alipokuwa akizungumza na wanahabari, […]

BIASHARA
August 21, 2024
261 views 4 mins 0

MAVUNDE:MKUTANO WA KIMATAIFA WA UWEKEZAJI SEKTA YA MADINI TANZANIA KUWAVUTA WAWEKEZAJI DUNIANI KOTE

Na Mwandishi Wetu WAMACHINGA Dar es Salaam. Waziri wa Madini, Mhe. Anthony Mavunde, amebainisha kuwa Tanzania iko tayari kuvutia Wawekezaji kutoka mataifa mbalimbali kupitia Mkutano wa 5 wa Kimataifa wa Uwekezaji katika Sekta ya Madini, unaotarajiwa kufanyika jijini Dar es Salaam kuanzia tarehe 19 hadi 21 Novemba, 2024. Amebainisha hayo leo Agosti 21, 2024, katika […]