BURUDANI
October 06, 2023
273 views 6 mins 0

MHE.KAIRUKI ATAJA MAFANIKIO LUKUKI YA RAIS SAMIA KWENYE SEKTA YA UTALII

Serikali imesema inakusudia kukuza utalii wa fukwe, mikutano pamoja na utalii wa kuvinjali kwa meli ikiwa ni mkakati wa kuongeza mazao mapya ya utalii nchini kwa ushirikiano baina ya Tanzania bara na visiwani. Akisoma hotuba kwa niaba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan kwenye ufunguzi rasmi wa Maonesho ya […]

BURUDANI, KITAIFA
September 30, 2023
284 views 2 mins 0

TAMASHA LA NGOMA ZA ASILI LA TULIA KUKUZA UTALII MKOANI MBEYA

Tamasha la Ngoma za Asili lijulikanalo kama “ *Tulia Traditional Dances Festival* ” ni kichocheo kikubwa katika kukuza ajira na utalii nchini. Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Angellah Kairuki (Mb) ameyasema hayo wakati akihitimisha tamasha hilo lililoambatana na mbio za “Tulia Marathon” lililofanyika leo Septemba 30,2023 jijini Mbeya. “Tamasha hili ni moja ya zao […]

BURUDANI
September 29, 2023
371 views 42 secs 0

MAMA WEMA AKIWASHA SIKU YA BIRTHDAY PARTY YA WEMA

Mama mzazi wa msanii maarufu wema sepetu achafua hali ya hewa kwenye birthday party ya mtoto wake Kilichoendelea mama huyo alipeleka zawadi ya kanga Kwa mwanawe na kugeuka somo Kwa Muda Kwa kumfunda wema sepetu Somo kubwa alilolitoa mama huyo ni kuhusu matumizi ya khanga Kwa mwanamke kwani alishawai kumuomba khanga mwanae na kupewa mtandio […]

BURUDANI
September 27, 2023
327 views 5 secs 0

MONALISA KUPAMBANIA TUNZO ZA WANAWAKE

Msanii mkongwe wa filamu nchini Yvone Cherrie ‘Monalisa’ , ameandaa Usiku wa Tuzo za Wanawake Novemba 23 mwaka huu jijini Dar es Salaam. Akizungumza na waandishi wa habari, Monalisa amesema zitafanyika ukumbi wa Super Dome Masaki na kwamba ni nafasi ya wanawake kuonekana kwa kile wanachofanya. “Nimeandaa tuzo za wanawake vinara kwenye sekta ya sanaa, […]

BURUDANI
September 27, 2023
364 views 42 secs 0

SHAKIRA ATUHUMIWA KWA UHALIFU WA KUTOLIPA KODI MARA PILI

Shakira alishinda tuzo ya mafanikio ya maisha katika Tuzo za Muziki za Video za MTV mapema mwezi huu Mwanamuziki wa pop wa Colombia, Shakira amefunguliwa mashtaka ya kukwepa kulipa kodi kwa mara ya pili na serikali ya Uhispania. Waendesha mashtaka nchini Uhispania wanadai muimbaji huyo aliilaghai serikali ya Euro milioni 6.7 ($7.1m, £5.8m) mwaka wa […]

BURUDANI
September 04, 2023
499 views 1 sec 0

KANYE WEST NA MKE WAKE WAPIGWA ZUIO LA MAISHA.

Rapa na Mfanyabiashara wa Marekani, Kanye West na mkewe, Bianca Censori, wamepigwa zuio la maisha na Kampuni maarufu ya kukodisha Boti ya Venezia Turismo Motoscafi, baada ya wanandoa hao kunaswa katika picha wakishiriki matendo ya ngono kwenye moja ya Boti ya kampuni hiyo. Huku sehemu ndogo ya makalio ya Ye ikiwa wazi. Kampuni hiyo yenye […]

BURUDANI, KITAIFA
September 01, 2023
1327 views 58 secs 0

MSANII HAITHAM KIM AFARIKI DUNIA.

Msanii wa Bongofleva Haitham Kim ambaye hivi karibuni Wasanii na Wadau wengine mbalimbali walianzisha kampeni ya kusaidia kuchangisha pesa kwa ajili ya matibabu yake amefariki leo katika Hospitali ya Rufaa ya Temeke Jijini Dar es salaam. BNB ambaye ni Rafiki wa Mume wa Marehemu Haitham, ameithibitisha kuwa ni kweli Haitham amefariki leo Hospitalini hapo. Katika […]

BURUDANI
August 30, 2023
564 views 45 secs 0

MBASHA ATAMBULISHA WASANII WAPYA WA INJILI

Msanii wa muziki wa injili hapa nchini,Emanuel Mbasha amewatambulisha rasmi wasanii wapya wa muziki wa injili ambao wanaitwa Mapacha wa Mungu kama sehemu ya project yake ya Mbasha House of talent. Mbasha amesema ujio wa wasanii hao mapacha kwenye muziki wa injili utakwenda kutikisa tasnia ya Muziki wa injili hapa nchini kwa kuongeza ladha mpya […]

BURUDANI
August 15, 2023
327 views 2 mins 0

BASATA KUWATANGAZA MABALOZI WAPYA NA KUFUFUA SEKTA YA SANAA

BARAZA la Sanaa la Taifa (BASATA) limewatambulisha rasmi Mabalozi watakaoshirikiana ili kupanua wigo wa mawazo na kutangaza Falsafa yake iliyojikita katika Kufufua Zaidi, Kukuza Zaidi na Kuendeleza zaidi Sekta ya Sanaa na kuipa mawanda mapana ya ubunifu. Akizungumza na waandishi wa habari leo Agosti 15 Jijini Dar es Salaam akitambulisha mabalozi hao Katibu Mtendaji wa […]

BURUDANI, KITAIFA
August 11, 2023
433 views 2 mins 0

BODI YA FILAMU KUANDAA TENA TUZO ZA FILAMU

Bodi ya filamu imefungua dirisha la kupokea filamu Kwa ajili ya tamasha la Tuzo za filamu 2023 Tanzania ikiwa Moja wapo ya tamasha hilo ambalo linalokuza filamu za kitanzania na kuzidi kuleta chachu ya kuendeleza vipaji vya Sanaa Tuzo hizo zimekuwa msimamo wa mbele ambazo ndizo zinazoweza kukutambulisha kazi yako unayoifanya ya kutunga au kucheza […]